09 October 2025
Nimepata samasi / summons iliyotoka jeshi la polisi na kufika nyumbani kwetu Augustino Polepole
Jeshi la police Tanzania lamtaka Augustino Polepole kwa kumtaja afisa wa police aliye mkuu wa upelelezi kanda maal (ZCO)Dar es Salaam afande Mafwele.. Augustino Polepole alipokuwa anatoa taarifa za kutekwa Humphrey Polepole kwa umma wa watanzania na jumuiya ya kimataifa kwa ujumla wake
Soma Pia: Kaka yake Humphrey Polepole athibitisha kutekwa kwa ndugu yake (Polepole) na mtu anayefahamika kama Mafwele
Augustino Polepole anasema sasa atakuja na undani / details kuhusu jinsi jeshi la polisi walivyomkamata Humphrey Polepole, wapi ameumizwa na wapi alipo kwa hivi sasa Humphrey Polepole ...
Nimepata samasi / summons iliyotoka jeshi la polisi na kufika nyumbani kwetu Augustino Polepole
Jeshi la police Tanzania lamtaka Augustino Polepole kwa kumtaja afisa wa police aliye mkuu wa upelelezi kanda maal (ZCO)Dar es Salaam afande Mafwele.. Augustino Polepole alipokuwa anatoa taarifa za kutekwa Humphrey Polepole kwa umma wa watanzania na jumuiya ya kimataifa kwa ujumla wake
Soma Pia: Kaka yake Humphrey Polepole athibitisha kutekwa kwa ndugu yake (Polepole) na mtu anayefahamika kama Mafwele
Augustino Polepole anasema sasa atakuja na undani / details kuhusu jinsi jeshi la polisi walivyomkamata Humphrey Polepole, wapi ameumizwa na wapi alipo kwa hivi sasa Humphrey Polepole ...