UPDATE: nimekutwa na UKIMWI...bora nife tu

UPDATE: nimekutwa na UKIMWI...bora nife tu

max 255

Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
24
Reaction score
19
Habari zenu wakuu, hope mko poa..

Naomba niwafikishie taarifa hii, juu ya thread hiyo ambayo nliandika tarehe 14 Nov km ckosei...

Thread ilipokelewa kibinadamu ....maana yake kulkua na majbu ya aina zote, wengi walkua wanaotoa ushaur mzur lkn kuna bnadam wachache walotoa comment za ajabu ...eti MTU anakwambia RIP in advance dah cc wabongo bn..

KUNA WACHACHE walohisi ni story ya kutunga, km zlivo nyng tu humu JF (mnaelewa jmn chai zpo kbao humu)

NA KWELI WALKUA SAHIHI, ...Mimi ni upcoming filmmaker na hiyo ni story ambayo nlikua nataka kutengenezea SHORT FILM... Nkasema ngj nitest idea huku nione watu wataipokeaje...

Finally nmeifanya iyo short film inaitwa LOST HOPE na sasa inapatkn YouTube

Link hii hapa:

Jaman ahsanten kwa comment zenu wote, Ila MTU atakapokua na changamoto hz, tujtahd kumsaidia uwezavyo na kumpa matumain co kuponda km baadh walvofanya.

IT'S A LONG journey Ila tumejpanga kumake a BIG IMPACT and a difference ktk movie zetu hapa TZ ...

If U can network with us,...PM me, km ni mdau wa movies na filmmaking, kuanzia kuandika story, kuigiza, SFX makeups etc

MCHEZO NDO UMEANZA IVOOO

Cc: Max STUDIOZ & MAX FILMZ
 
Habari zenu wakuu, hope mko poa..

Naomba niwafikishie taarifa hii, juu ya thread hiyo ambayo nliandika tarehe 14 Nov km ckosei...

Thread ilipokelewa kibinadamu ....maana yake kulkua na majbu ya aina zote, wengi walkua wanaotoa ushaur mzur lkn kuna bnadam wachache walotoa comment za ajabu ...eti MTU anakwambia RIP in advance dah cc wabongo bn..

KUNA WACHACHE walohisi ni story ya kutunga, km zlivo nyng tu humu JF (mnaelewa jmn chai zpo kbao humu)

NA KWELI WALKUA SAHIHI, ...Mimi ni upcoming filmmaker na hiyo ni story ambayo nlikua nataka kutengenezea SHORT FILM... Nkasema ngj nitest idea huku nione watu wataipokeaje...

Finally nmeifanya iyo short film inaitwa LOST HOPE na sasa inapatkn YouTube

Link hii hapa:

Jaman ahsanten kwa comment zenu wote, Ila MTU atakapokua na changamoto hz, tujtahd kumsaidia uwezavyo na kumpa matumain co kuponda km baadh walvofanya.

IT'S A LONG journey Ila tumejpanga kumake a BIG IMPACT and a difference ktk movie zetu hapa TZ ...

If U can network with us,...PM me, km ni mdau wa movies na filmmaking, kuanzia kuandika story, kuigiza, SFX makeups etc

MCHEZO NDO UMEANZA IVOOO

Cc: Max STUDIOZ & MAX FILMZ
Nilifikiri ni story ya kweli kumbe ni film story ongera sana mkuu
 
Michezo ya MB zimepanda bei GB atuna za kukuongezea views
 
Mkuu umezingua sana kuvheza na hisia za watu.
Yaani watu wanakupa mawazo ya uhalisia kumbe wewe ulikuwa u acheza nao tu.
 
Dogo unaweza, nmecheki script yako, upo vizuri sana (kama ni wewe kweli), una wazo zuri sana, na jitahidi kuboresha sauti na picha, ziwe na ubora, pia jitahidi sana kuuweka u serious kwenye hiyo dhima yako! Kupata Ukimwi si jambo la kitoto, halihitaji kucheka, so big up upo vizuri, komaa na wazo lako.
Acha wanaokucheka au kukukejeri, komaa na lengo lako, na wazo lako pia.
Big up.
 
nasoma film production, nlishawah kuwaambia watu kadhaa lakini wakaishia kunicheka.
 
Dogo unaweza, nmecheki script yako, upo vizuri sana (kama ni wewe kweli), una wazo zuri sana, na jitahidi kuboresha sauti na picha, ziwe na ubora, pia jitahidi sana kuuweka u serious kwenye hiyo dhima yako! Kupata Ukimwi si jambo la kitoto, halihitaji kucheka, so big up upo vizuri, komaa na wazo lako.
Acha wanaokucheka au kukukejeri, komaa na lengo lako, na wazo lako pia.
Big up.
Thanks... Kila hatua dua
 
nasoma film production, nlishawah kuwaambia watu kadhaa lakini wakaishia kunicheka.
Let's connect mzee...nichek PM , maneno ya watu co final say...ideas zako zkifika kwa audience.. Ndo wana final say na chance ya kuimprove ipo kubwa saaana..NEVER GIVE UP
 
Acha ufala wewe !
Magonjwa yasiotibika ni mengiii
Kisukari, hepatitis, figo nk.
Ongeza nidhamu, sali saaana.

Lakini ukiamua kufa naomba hiyo simu..
 
Back
Top Bottom