Update: Iran imeanza tena kuishambulia Israel muda huu

Update: Iran imeanza tena kuishambulia Israel muda huu

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,185
Reaction score
24,565
Tupo live muda huu Iran keshaanza kazi.

Huu uzi utakua na updates za kila kinachoendelea muda huu.

Update:Makombora ya Iran yameanza kutua
 
Israel ipo vizuri, inatungua kama maembe vikombora vya iran
 
Kweli inashambulia bila kusahau Israel yupo anawinda muda wote
 
IAF inashambulia Yemen na Tehran kwa wakati 1, anga dogo ndege 200 angani
Inaonekana Saudi, Jordan wameacha anga zao zitumike
 
Chief huna hata mke wa kuhudumia usiku huu?maana kutwa nilikuwa nakusoma humu na hizi mada zako basi imeshakuwa usiku tafuta kingine cha kufanya.
 
Chief huna hata mke wa kuhudumia usiku huu?maana kutwa nilikuwa nakusoma humu na hizi mada zako basi imeshakuwa usiku tafuta kingine cha kufanya.
Comrade, huku naona unaelekea kuvuka mipaka. Yaani unaingilia maisha na uhuru wa mtu. Vipi akikuambia hana huyo mke wa kumhudumia! Utachukua jukumu la kwenda kumhudumia?

Eti "imeshakua usiku tafuta kingine cha kufanya" !! Mbona unajivika majukumu mazito sana, na yasiyo kuhusu!!
 
Back
Top Bottom