Upatikanaji wa kipimo (kifaa) cha mimba ukoje?

Upatikanaji wa kipimo (kifaa) cha mimba ukoje?

Itel A51

Member
Joined
Jun 4, 2020
Posts
57
Reaction score
110
Habari zenu wakuu?

Ningependa kufahamishwa kuhusu hili suala la upatikanaji wa kipimo cha mimba kwa njia ya mkojo kwa wanawake.

Hivi kinaweza patikana katika maduka ya dawa muhimu kwa binadamu au hadi hospitali? Kama ni madukan gharama zake zikoje?

Msaada wenu wakuu.
 
Nenda maduka ya dawa barid utajiokotea bei Chee....afu urudi utupe mrejesho....sema story imeanzia kati....hauhtaj hata ushaur ya kilichotokea?
 
Nenda famasi yoyote utapata, bei yake ni buku tu, kama unataka bei ya jumla nichek inbox

California love
 
Nenda maduka ya dawa barid utajiokotea bei Chee....afu urudi utupe mrejesho....sema story imeanzia kati....hauhtaj hata ushaur ya kilichotokea?
Ahsante mkuu... Kilichotokea ni kwamba mtu wangu haoni siku zake so nataka thibitisha ili nijue kuwa "mambo tayari" au bado.?
 
Usisahau kucheck na ultrasound,

California love
 
Nenda phamacy mwambie muuzaji akupatie UPT kinauzwa elfu 2.

Kojoa mkojo weka kwenye kikopo kilichokisafi kisha weka kifaa chako usubiri dakika moja harafu utakitoa, utakiweka sehemu nzuri unasubiri kama dakika 15 kitakupa majibu.
IMG_0288.jpg
 
Back
Top Bottom