jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 825
kwa wajuzi wa mambo haya, naomba kufahamu gharama za upasuaji wa goti kwa hapa Tanzania nilipata ajali kwenye mazoezi mpirani mwaka Jana ila tangia wakati huo goti langu halijarudi kama zamani
Maumivu kwa ndani, limeregea sio kama jingine, linatoa sauti kama vile mifupa inagusana nikitembea, nikiumia linajaa/kuvimba,mguu wote hauna nguvu kama zamani,
Nikiendesha baskeli au kukimbia nahisi maumivu nataka nifanyiwe operationSijui wapi pa kuanzia na wapi kwa kimaliziaMsaaada jamani.
Maumivu kwa ndani, limeregea sio kama jingine, linatoa sauti kama vile mifupa inagusana nikitembea, nikiumia linajaa/kuvimba,mguu wote hauna nguvu kama zamani,
Nikiendesha baskeli au kukimbia nahisi maumivu nataka nifanyiwe operationSijui wapi pa kuanzia na wapi kwa kimaliziaMsaaada jamani.