Mkoa wa iringa wilayani mufindi
Utapata ekari 1,kati ya sh300,000-500,000
Miti inayokubali ni pines & mlingoti(gams).Kuhusu bei pines inabei kubwa kuliko mlingoti tatizo ukuaji wake ni taratibu..lkn mlingoti pia inakua haraka..kizuri zaidi ukipanda mala 1..wewe kazi yako itakuwa kuvuna tu
Hata moto uunguze miti hii huchipua tena