Ni Hospitali ya kanisa katoliki iliyopo mkoa wa Dar es salaam kata ya Ukonga, kitongoji cha mwembe madafu. Namna inavyoendeshwa sasa ni kinyume na taratibu za Kanisa na waanzilishi. Mpaka sasa Wafanyakazi hawajalipwa mshahara toka mwanzon mwa november 2013 mpaka leo tareh 09/01/2014.