huu ni mfereji ambao unaopitia kiwanda cha pepsi na kuelekea Temeke hadi baharini na hapa ni kiwalani minazi mirefu ambapo mfereji huu umejaa uchafu kiasi hiki viongozi wa mtaa huu wameshindwa kuushughulikia wapo tu maoficn!je huu si mwanzo wa magonjwa na mvua hizi zjazo wakazi hawa watasalimika kweli???hawa viongoz ndio wale walioibaga masanduku ya kura 2010.....