Nzenzu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 858
- 164
Leo asubuhi ktk kipindi cha "Tuongee Asubuhi" kinacho rushwa na StarTv Mh. Mkosamali amekaririwa akisema kuwa sababu kubwa ya kutokutekelezeka kwa Ahadi walizoahidiwa wananchi "UDHAIFU WA UONGOZI WA SERIKALI YETU ILIYOPO MADARAKANI SASA". Hii inathibitisha ile kauli ya Mh. Mnyika kuwa RAIS KIKWETE NI DHAIFU.