Uongozi wa NSSF ni udini au ukabila

Uongozi wa NSSF ni udini au ukabila

Status
Not open for further replies.

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
588
Ukienda NSSF makao makuu utakuta nafasi zile zote za kupewa ni watu wa aina fulani , yaani zile nafasi zote za kugawiwa mafano afisa mipongo,sijui mahusiano zile ambazo ni vyeo lakini hata mtu wa kidato cha nne anayejua lugha vizuri anaweza fanya wako watu wa aina moja ni vyeo vikubwa visivyohitaji elimu kubwa zaidi ya ngekewa ya kupendwa na wakubwa ili kuteuliwa.
 
Peleka upumbavu wako uko. Hampendi kuona waislam wanashika madaraka roho zinawatoka kama mbwa mwitu mwenye njaa
 
Chuki yenu ni ramadhan dau ambaye ni mkurugenzi mkuu. Akili za chadema hizi. Jinga sana
 
Ukienda NSSF makao makuu utakuta nafasi zile zote za kupewa ni watu wa aina fulani , yaani zile nafasi zote za kugawiwa mafano afisa mipongo,sijui mahusiano zile ambazo ni vyeo lakini hata mtu wa kidato cha nne anayejua lugha vizuri anaweza fanya wako watu wa aina moja ni vyeo vikubwa visivyohitaji elimu kubwa zaidi ya ngekewa ya kupendwa na wakubwa ili kuteuliwa.

mkurugenzi mkuu angekuwa anaitwa yohana wala usingesema ni udini
 
Kuanzia sasa tutanza kujiita "George Abdala", "Emmanuel Juma", "Benjamin Saidi" kama alivyofanya "Augustino Ramadhani"
 
Ukienda NSSF makao makuu utakuta nafasi zile zote za kupewa ni watu wa aina fulani , yaani zile nafasi zote za kugawiwa mafano afisa mipongo,sijui mahusiano zile ambazo ni vyeo lakini hata mtu wa kidato cha nne anayejua lugha vizuri anaweza fanya wako watu wa aina moja ni vyeo vikubwa visivyohitaji elimu kubwa zaidi ya ngekewa ya kupendwa na wakubwa ili kuteuliwa.
Pure truth!
 
Mkuu tpmazembe hao si ni watanzania? shida hiko wapi? lingekuwa tatizo kama hawa watu wangekuwa ni kutoka nje ya nchi, au kama wameacha kuajili watu wa dini fulani kwenye sifa na wakaajili watu wa dini nyingine wasio na sifa.. Mimi kama mimi sioni tatizo kama shirika linatoa huduma zinayotakiwa na linajihendesha kwa faida, Tuacheni udini sisi wote ni watanzania.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom