Uongozi wa klabu ya Simba SC jitahadhalini, Ajibu wa Yanga anawarubuni wachezaji wa Simba

Ni uzwazwa kusema wachezaji wa tanzania wana Maisha mazuri. Maisha gani haya. Nimeamini Didi watanzania kufikiri kwetu kuna matatizo. Hv Ajibu kupewa lile gari linalobwia mafuta km jini mnasema amepatia Maisha. Ajibu au wachezaji wa tanzania kupewa mikataba ya 60 million mnaona wamepatia Maisha. Inasikitisha Sana kushabikia na kubishana mchezaji Kama Ajibu at mkude achezee yanga au simba. Nilidhani tutawahimiza waenda waongeze juhudi waende ulaya. Ndugu zangu watanzania Tuache ushabiki wa kijinga. Dunia imebadilika. Wachezaji wa magharibi au Brazil wanazungumzia mabilon sisi tunashabikia milion50 na gari la hovyo la Ajibu eti ameyakwaa Maisha. Didi watanzania Nani ameturoga.
Wewe uko Ulaya tayari?
 
Ni uzwazwa kusema wachezaji wa tanzania wana Maisha mazuri. Maisha gani haya. Nimeamini Didi watanzania kufikiri kwetu kuna matatizo. Hv Ajibu kupewa lile gari linalobwia mafuta km jini mnasema amepatia Maisha. Ajibu au wachezaji wa tanzania kupewa mikataba ya 60 million mnaona wamepatia Maisha. Inasikitisha Sana kushabikia na kubishana mchezaji Kama Ajibu at mkude achezee yanga au simba. Nilidhani tutawahimiza waenda waongeze juhudi waende ulaya. Ndugu zangu watanzania Tuache ushabiki wa kijinga. Dunia imebadilika. Wachezaji wa magharibi au Brazil wanazungumzia mabilon sisi tunashabikia milion50 na gari la hovyo la Ajibu eti ameyakwaa Maisha. Didi watanzania Nani ameturoga.
Wewe uko Ulaya tayari?
 
Ni uzwazwa kusema wachezaji wa tanzania wana Maisha mazuri. Maisha gani haya. Nimeamini Didi watanzania kufikiri kwetu kuna matatizo. Hv Ajibu kupewa lile gari linalobwia mafuta km jini mnasema amepatia Maisha. Ajibu au wachezaji wa tanzania kupewa mikataba ya 60 million mnaona wamepatia Maisha. Inasikitisha Sana kushabikia na kubishana mchezaji Kama Ajibu at mkude achezee yanga au simba. Nilidhani tutawahimiza waenda waongeze juhudi waende ulaya. Ndugu zangu watanzania Tuache ushabiki wa kijinga. Dunia imebadilika. Wachezaji wa magharibi au Brazil wanazungumzia mabilon sisi tunashabikia milion50 na gari la hovyo la Ajibu eti ameyakwaa Maisha. Didi watanzania Nani ameturoga.
Pole yako kwa kudhani tunaposema mchezaji ana maisha mazuri basi tunazungumzia pesa pekee. Ukisikia kuwa Yaya alikuwa na maisha magum Barcelona unaelewa nini?
 
Bongo ni bongo tu..walikuepo mafundi zaidi ya hawa akina ajib na kichuya! Tatizo wachezaji wetu wanaridhika na malupulupu,halafu kwa ushabiki wa magazeti wanaona ndo wametoka "et maisha ndo haya"..kiwango kitaishia simba na yanga,sio kwamba nawabeza ila wanatakiwa watoke nje ya mipaka ya Tanzania.
 
Kusema Ajib anawarubuni wachezaji wa simba kwenda yanga huo ni ushabiki maandazi. Waacheni wachezaji wawe huru kwenda wanapotaka bila kuwawekea vikwazo. Ifike mahali sisi mashabiki wa simba na yanga tukubali mchezaji anapotoka timu mojawapo na kujiunga na nyingine. Hii itakuza soka letu na kuleta ushindani. Tumwache Ajib acheze mpira tusimuhusishe na mambo ya kufikirikaKama mchezaji hapti namba simba aende yanga na ambaye hapati namba yanga aende simba full stop.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom