magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,442
- 13,183
Sasa mkuu kwa mantiki ya picha hiyo hata Wachezaji wa Everton wana maisha sio maana walikula vitumbua hapa bongo.MAISHA MAZURI NDIO HAYA
View attachment 629186
Sasa mkuu kwa mantiki ya picha hiyo hata Wachezaji wa Everton wana maisha sio maana walikula vitumbua hapa bongo.MAISHA MAZURI NDIO HAYA
View attachment 629186
Wewe uko Ulaya tayari?Ni uzwazwa kusema wachezaji wa tanzania wana Maisha mazuri. Maisha gani haya. Nimeamini Didi watanzania kufikiri kwetu kuna matatizo. Hv Ajibu kupewa lile gari linalobwia mafuta km jini mnasema amepatia Maisha. Ajibu au wachezaji wa tanzania kupewa mikataba ya 60 million mnaona wamepatia Maisha. Inasikitisha Sana kushabikia na kubishana mchezaji Kama Ajibu at mkude achezee yanga au simba. Nilidhani tutawahimiza waenda waongeze juhudi waende ulaya. Ndugu zangu watanzania Tuache ushabiki wa kijinga. Dunia imebadilika. Wachezaji wa magharibi au Brazil wanazungumzia mabilon sisi tunashabikia milion50 na gari la hovyo la Ajibu eti ameyakwaa Maisha. Didi watanzania Nani ameturoga.
Wewe uko Ulaya tayari?Ni uzwazwa kusema wachezaji wa tanzania wana Maisha mazuri. Maisha gani haya. Nimeamini Didi watanzania kufikiri kwetu kuna matatizo. Hv Ajibu kupewa lile gari linalobwia mafuta km jini mnasema amepatia Maisha. Ajibu au wachezaji wa tanzania kupewa mikataba ya 60 million mnaona wamepatia Maisha. Inasikitisha Sana kushabikia na kubishana mchezaji Kama Ajibu at mkude achezee yanga au simba. Nilidhani tutawahimiza waenda waongeze juhudi waende ulaya. Ndugu zangu watanzania Tuache ushabiki wa kijinga. Dunia imebadilika. Wachezaji wa magharibi au Brazil wanazungumzia mabilon sisi tunashabikia milion50 na gari la hovyo la Ajibu eti ameyakwaa Maisha. Didi watanzania Nani ameturoga.
Pole yako kwa kudhani tunaposema mchezaji ana maisha mazuri basi tunazungumzia pesa pekee. Ukisikia kuwa Yaya alikuwa na maisha magum Barcelona unaelewa nini?Ni uzwazwa kusema wachezaji wa tanzania wana Maisha mazuri. Maisha gani haya. Nimeamini Didi watanzania kufikiri kwetu kuna matatizo. Hv Ajibu kupewa lile gari linalobwia mafuta km jini mnasema amepatia Maisha. Ajibu au wachezaji wa tanzania kupewa mikataba ya 60 million mnaona wamepatia Maisha. Inasikitisha Sana kushabikia na kubishana mchezaji Kama Ajibu at mkude achezee yanga au simba. Nilidhani tutawahimiza waenda waongeze juhudi waende ulaya. Ndugu zangu watanzania Tuache ushabiki wa kijinga. Dunia imebadilika. Wachezaji wa magharibi au Brazil wanazungumzia mabilon sisi tunashabikia milion50 na gari la hovyo la Ajibu eti ameyakwaa Maisha. Didi watanzania Nani ameturoga.
Maisha mazuri ni kufurahia unachokifanya haijalishi upo kwenye mazingira gan?MAISHA MAZURI NDIO HAYA
View attachment 629186
Simba wote? wepi?Ina Maana Ajib ana akili na ni mjanja kuliko Simba wote?
Wanakula lamba lamba teh tehMAISHA MAZURI NDIO HAYA
View attachment 629186
Tatizo la kuokota wachezaji mitaaniMAISHA MAZURI NDIO HAYA
View attachment 629186