baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 230
- 348
Habar wakuu,nimeona tuchanganue upeo wa viongozi wetu wa klabu ya simba na yanga ili tupate mwangaza kidogo ni uongozi wa klabu gani upo makini
Kama unavyojua ,Anza kama hivi;
wakati raisi wa yanga yupo south afrika kufuatilia baadhi ya wachezaji wa kuwasajili dirisha dogo lakini viongozi wa simba wapo busy kunyoosheana mikono kisa kufungwa tano na mtani
Kama unavyojua ,Anza kama hivi;
wakati raisi wa yanga yupo south afrika kufuatilia baadhi ya wachezaji wa kuwasajili dirisha dogo lakini viongozi wa simba wapo busy kunyoosheana mikono kisa kufungwa tano na mtani