Uongozi ni nini?

Uongozi ni nini?

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
2,705
Reaction score
4,971
Point to ponder:

UONGOZI maana yake ni ile hali ya mtu kuwa na UWEZO, NGUVU na MAARIFA ya kugombania KITI, ili akifanikiwa kukipata hicho KITI kisha mtu huyo hupewa OFISI na MEZA yake.

Note: UONGOZI ni taasisi ya MUNGU.
#footsteps
IMG_20231118_175529.jpg
 
Kama hamna kiti na meza pia hakuna uongozi?
Ni kweli. UONGOZI lazima uwe na OFISI . Na OFISI lazima iwe na KITI na Meza yake. Bila hivyo vitu kuwamo....maana yake Hilo ni PAGALA.

Note: PAGALA haliwezi kukaliwa na Viongozi.
 
Kama Rais akaavyo mezani na mawaziri kudiscuss issues za taifa hili. Ndiyo hata YESU KRISTU alikua akikaa na wanafunzi wake.

Ukiwa kiongozi lazima uonyeshe UWEZO wako, Nguvu zako na MAARIFA yako.


Note: Kati ya uliowateua , mmoja lazima atakusaliti tu. Ipogo hivyo yaani .hata ukibisha.
Herbert-Sim-The-Last-Supper-Illustration.jpg
 
Back
Top Bottom