Yohana M Magembe
Member
- Nov 5, 2021
- 40
- 24
Siku nikiulizwa UONGOZI NI NINI? Kwa umri wangu kwa kuwa nimeshuhudia toka akiwa naibu waziri na waziri kwa kipindi chote na hatimae kuwa Rais wa nchi yangu Tajiri Tanzania jibu langu ni JPM.. (Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuri)
NIMEMUONA,NIMEMSOMA,NIMEMSIKILIZA,NIKAITAZAMA TANZANIA NIKAPATA JIBU HILO🙏🙏..
Jàpo ametangulia mbele ya haki Iko siku atarudi kwa umbo na sura nyingine..
Malaki 4:5......Yesu akasema..Mathayo 11:11-14
NOTE: MATHAYO 10:11,12,13-15.
🙏🙏
NIMEMUONA,NIMEMSOMA,NIMEMSIKILIZA,NIKAITAZAMA TANZANIA NIKAPATA JIBU HILO🙏🙏..
Jàpo ametangulia mbele ya haki Iko siku atarudi kwa umbo na sura nyingine..
Malaki 4:5......Yesu akasema..Mathayo 11:11-14
NOTE: MATHAYO 10:11,12,13-15.
🙏🙏