Uongo wa wafuasi wa UKAWA

Uongo wa wafuasi wa UKAWA

In mbowe voice
Mimi mwenyewe.

Siamini kuingia madarakani kiharamu halafu ubagain ushirikiano na uliowadhulumu. Ndivyo CCM imefanya miaka yote hususan Zanzibar miaka yote na hapa kuanzia 2005
 
ILANI YA UKAWA.ndani ya serikali walikuwa wanampango wa kufumua huo mfumo wa JK NA CCM POLICE ELIMU pamoja na MIUNDO MBINU NANI YA SERIKALI.sema magufuri kaingia kichwa kichwa bila mpango yatamshinda kwasababu ndani ya ccm hakuna wasomi na wanategemea J makamba na mwingulu .


swissme

mhhhh,muda utazungumza
 
Upande wa UKAWA wao ufisadi hawakuuweka mbele sana hata mgombea wao alipohojiwa na BBC na kuulizwa kuhusu atakavyoshughulikia ufisadi mkubwa hakua na jibu , nakumbuka sera kubwa ya UKAWA ilikua ELIMU ELIMU ELIMU pia mheshimiwa Lowassa akaongezea kidogo kua mwenye mbuzi mmoja atakua nao wawili , anaekula mlo mmoja atakula miwili nakadhalika nakadhalika leo Magufuli anaanza kutekeleza Sera zake za kuwashughulikia mafisadi wana UKAWA wanaanza kutupotosha kua anafuata ilani yao.

Wito kwa wana UKAWA tukubali tu kua kwa bahati nasibu au mpango wa Mungu tumepata raisi wa ndoto zetu AMEN

1. Si Bora hata huyo alienda BBC? huyo mwingine si alikimbia lusha nasikia?

2. Hao CCM kipaumbele chao kilikuwa nini? au ilikuwa Ufisadi ? umesahahu?
 
kama itasaidia kusonga mbele hakuna shida hata zito alisema magufuli anatumia ilani ATC %60 sasa sioni shida akitumia hiyo %40 iliyobaki toka UKAWA.
 
Magufuli katika hutuba zake akisema nitapambana na mafisadi sasa Ukawa kuna mafisadi? Alipo sema mafisadi IPO ndani ya ccm ndio kwenye mafisadi musilie someni bomber sasa
 
Kwa wana ccm wapenda ufalme hilo hawalitaki kulisikia kama kina februari mauzi
Leo unasema februari mauzi ndio mzuri? Alafu unasema mama Samia aachane na wale wa magu? Hahahahahaaha
 
Alisema atayakamata majizi na mafisadi , japo alipenda kutumia kauli ya "SERIKALI YA MAGUFULI" lakini ukisema magufuli huwezi kumtenganisha na CCM , trust me magufuli anairudisha ccm katika misingi yake ya awali kua kimbilio la wanyonge , unaonaje tukiungana kumuombea katika hili wewe mwananchi
Leo wanasema mama Samia anatekeleza ilani yao
 
Back
Top Bottom