Uongo wa wafuasi wa UKAWA

Uongo wa wafuasi wa UKAWA

Ha ha ha. Nani angefanya hivyo, huyu huyu Lowassa? Endelea kuzungusha mikono na kuropoka mabadilikoooo... hadi misuli itauma; na utaacha, nina uhakika.

Kampikie bwana wako uji
 
kwani ukawa wapo?siwasikiii walijitahidi kugombea maiti ili wapate media coverage pia haikuwasaidia..habari ya mjini ni Magufuli tu..
Vyama vitakavyojiendesha ki ujanja ujanja na kutegemea matukio kwa sasa vitakufa-Kitila mkumbo
 
Ni muda wa kujenga nchi sio wa kulumbana kichama. Kilicho bora kwa nchi kinafanyiwa kazi bila bila kujali kimetoka chama gani. Mwisho wa siku tanzania ndio mshindi. Ila kama bado unasisitiza, Watanzania wengi walichagua mabadiliko (ukawa) , na bahati nzuri JPM naye anataka mabadiliko. Wanaomchukia JPM ni wana ccm wasiotaka mabadiliko pamoja na washirika wao wa ufisadi. Tuungane rais atekeleze matakwa ya wengi.

Uko sawa kabisa Mwananchi japo wakati tunasonga mbele kuna mambo tuweke sawa
 
Wakupe ILANI YA UKAWA? Gamba wewe lazima mkubali panapo semwa ukweli na hiko wapi ILANI YA ccm?kajipange tena.


swissme

Mimi kama wananchi wengi wa kawaida ambao hatukuijua hata sura ya ilani ya chama chochote tulikua tunasikiliza yale tuliyokua tunayasikia majukwaani tukiamini ndio ilani ya vyama , niambie lini mgombea wa ukawa alisimama jukwaani akipinga ufisadi ili tuseme magufuli anafuata ilani ya ukawa
 
Tuonyeshe ilani ya CCM anayotekeleza

Alisema atayakamata majizi na mafisadi , japo alipenda kutumia kauli ya "SERIKALI YA MAGUFULI" lakini ukisema magufuli huwezi kumtenganisha na CCM , trust me magufuli anairudisha ccm katika misingi yake ya awali kua kimbilio la wanyonge , unaonaje tukiungana kumuombea katika hili wewe mwananchi
 
ILANI YA UKAWA.ndani ya serikali walikuwa wanampango wa kufumua huo mfumo wa JK NA CCM POLICE ELIMU pamoja na MIUNDO MBINU NANI YA SERIKALI.sema magufuri kaingia kichwa kichwa bila mpango yatamshinda kwasababu ndani ya ccm hakuna wasomi na wanategemea J makamba na mwingulu .


swissme

Acha unafiki wewe, kupambana na ufisadi haikuwa agenda ya UKAWA na wala haikusikika mahala kwenye kampeni zao wakiliongelea hili ktk mapana yake... Ndo maana Lowassa alipohojiwa na BBC aliuma Maneno nakuonesha hana mpango wowote wakukabiliana na ufisadi isipokuwa alisema ataaza na urasimu mdogomdogo wa watumishi wa umma. .
 
Kwahiyo 2020 mtasema JPM alitekeleza ilani yetu,so tuchagueni UKAWA?
 
Acha unafiki wewe, kupambana na ufisadi haikuwa agenda ya UKAWA na wala haikusikika mahala kwenye kampeni zao wakiliongelea hili ktk mapana yake... Ndo maana Lowassa alipohojiwa na BBC aliuma Maneno nakuonesha hana mpango wowote wakukabiliana na ufisadi isipokuwa alisema ataaza na urasimu mdogomdogo wa watumishi wa umma. .

Agenda ya kupinga ufisadi ilienda na Dr.Slaa,waliobaki sera yao ilikuwa elimu elimu elimu.
 
kwani ukawa wapo?siwasikiii walijitahidi kugombea maiti ili wapate media coverage pia haikuwasaidia..habari ya mjini ni Magufuli tu..


Tupo wengi sana. Tatizo mnachukulia utendaji wa magufuri kwa tafsiri ya kuiangusha UKAWA. Mimi 2020 kura yangu ni ukawa simpi Magufuri
 
Yani ukawa ndo wanaelimu ndogo tena!!!??? jaribu kua serious na maneno yako..
Umesahau twaweza walisema wanaoipenda ccm ni wajinga na wasiojielewa???
 
Hujawahi kusikia watu wanasema misuli inaniuma? Wewe kibwengo ni shida kweli kweli. Sasa, hebu fanya hivi: zungusha, zungusha zungusha mikono halafu ropoka mabadilikoooo....Lowassa, Lowassa..... Ha ha ha, aisee.

Tulia muisome namba nyie ccm. Paka chongo we
 
Ivi kwa nn wanakijani mnaanzisha mada kibao kumchonganisha magufuli na wananchi na magufuli na ukawa?? Wakisema ilani yao imetekelezwa ina maana wanakubali kwa raha kuwa walichotaka kufanya ndio jamaa anafanya sasa nyie mimacho mnatoa ya nn?? Endeleeni kuzingua ila tambueni wapinzani wanafuraha kubwa kwa kutibuliwa kwa mirija yenu ...wakati nyie mkilia na kuiread namba!!
 
Ni muda wa kujenga nchi sio wa kulumbana kichama. Kilicho bora kwa nchi kinafanyiwa kazi bila bila kujali kimetoka chama gani. Mwisho wa siku tanzania ndio mshindi. Ila kama bado unasisitiza, Watanzania wengi walichagua mabadiliko (ukawa) , na bahati nzuri JPM naye anataka mabadiliko. Wanaomchukia JPM ni wana ccm wasiotaka mabadiliko pamoja na washirika wao wa ufisadi. Tuungane rais atekeleze matakwa ya wengi.

Walizoea vya kunyonga!! Yani mtu wao wenyewe ila koo wamekabwa wao wenyewe!!
 
Alisema atayakamata majizi na mafisadi , japo alipenda kutumia kauli ya "SERIKALI YA MAGUFULI" lakini ukisema magufuli huwezi kumtenganisha na CCM , trust me magufuli anairudisha ccm katika misingi yake ya awali kua kimbilio la wanyonge , unaonaje tukiungana kumuombea katika hili wewe mwananchi
Over my dead body
 
Back
Top Bottom