Uongo wa CHADEMA waanza kuwatokea puani, Lisu alivaa shati la Blue na si Jeupe wakati wa tukio

Utoto kabisa.
=Kwa hiyo hakupigwa risasi.
=Pili hiyo nguo nyeupe unaweza thibitisha ni shati?
=Na kama ni shati alikuwa amelivaa?
=Kwanini isiwe nguo waliyotumia kuzuia kuvuja kwa damu?

Unawaza kwa kutumia nini hasa


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo yanakera tena yanasikitisha. Ni pale mtu mzima anapotunga uongo kuhalalisha haja yake.

Mara baada ya tukio linalosemekana la Lissu kupigwa risasi, Freeman Mbowe anaonekana amepiga picha na Dereva wa Lisu akiwa ameshikilia shati jeupe likiwa limelowa damu na suruaki ya khaki, nguo zinazodaiwa ni za Tundu Lissu alizovaa wakati wa shambulizi.
View attachment 586241
Baadaye Nape Nnauye anapost kwenye Ukurasa wake wa Insta akiambatanisha na picha aliyopiga akiwa na Tundu Lissu nje ya Bunge muda mfupi kabla ya Lisu kushambuliwa kwa risasi.
View attachment 586242
Kama hiyo haitoshi, Mange Kimambi anapost picha ya Lissu akionekana kwenye chumba cha upasuaji Hospitali ya General Dodoma akisubiri kusafirishwa kwenda Nairobi. Kwenye picha hiyo, Lissu anaonekana amelalia kichwani shati la Blue kama lile alilopost Nape Nnauye.
View attachment 586243
Kadri akili za watu zinavyotulia na kuchanganua mambo, ni dhahiri kwamba tukio hili linaweza kuwa ni kupangwa na wapangaji wamekosea steps hadi wamejiumbua. Time will tell
Mkuu,Inaonekana wewe unajaribu kumuokoa BASHITE!....Nguo nyeupe ni flana
 
Kuna mambo yanakera tena yanasikitisha. Ni pale mtu mzima anapotunga uongo kuhalalisha haja yake.

Mara baada ya tukio linalosemekana la Lissu kupigwa risasi, Freeman Mbowe anaonekana amepiga picha na Dereva wa Lisu akiwa ameshikilia shati jeupe likiwa limelowa damu na suruaki ya khaki, nguo zinazodaiwa ni za Tundu Lissu alizovaa wakati wa shambulizi.
View attachment 586241
Baadaye Nape Nnauye anapost kwenye Ukurasa wake wa Insta akiambatanisha na picha aliyopiga akiwa na Tundu Lissu nje ya Bunge muda mfupi kabla ya Lisu kushambuliwa kwa risasi.
View attachment 586242
Kama hiyo haitoshi, Mange Kimambi anapost picha ya Lissu akionekana kwenye chumba cha upasuaji Hospitali ya General Dodoma akisubiri kusafirishwa kwenda Nairobi. Kwenye picha hiyo, Lissu anaonekana amelalia kichwani shati la Blue kama lile alilopost Nape Nnauye.
View attachment 586243
Kadri akili za watu zinavyotulia na kuchanganua mambo, ni dhahiri kwamba tukio hili linaweza kuwa ni kupangwa na wapangaji wamekosea steps hadi wamejiumbua. Time will tell
Haya tufanye lisu hakupigwa risasi,wamechovya nguo damu ya mbuzi kutafuta kiki,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utawajua tu watu waliozoea tiba za kienyeji. Toka lini mgonjwa anaingia kwenye vipimo au theatre kavaa shati, alichovalishwa hapo kama uelewi inaitwa 'patient gown' for your info detective uchwara.
 
Kuna mambo yanakera tena yanasikitisha. Ni pale mtu mzima anapotunga uongo kuhalalisha haja yake.

Mara baada ya tukio linalosemekana la Lissu kupigwa risasi, Freeman Mbowe anaonekana amepiga picha na Dereva wa Lisu akiwa ameshikilia shati jeupe likiwa limelowa damu na suruaki ya khaki, nguo zinazodaiwa ni za Tundu Lissu alizovaa wakati wa shambulizi.
View attachment 586241
Baadaye Nape Nnauye anapost kwenye Ukurasa wake wa Insta akiambatanisha na picha aliyopiga akiwa na Tundu Lissu nje ya Bunge muda mfupi kabla ya Lisu kushambuliwa kwa risasi.
View attachment 586242
Kama hiyo haitoshi, Mange Kimambi anapost picha ya Lissu akionekana kwenye chumba cha upasuaji Hospitali ya General Dodoma akisubiri kusafirishwa kwenda Nairobi. Kwenye picha hiyo, Lissu anaonekana amelalia kichwani shati la Blue kama lile alilopost Nape Nnauye.
View attachment 586243
Kadri akili za watu zinavyotulia na kuchanganua mambo, ni dhahiri kwamba tukio hili linaweza kuwa ni kupangwa na wapangaji wamekosea steps hadi wamejiumbua. Time will tell
Hapana shaka ndugu yangu umekipata ambacho ulikuwa unakitaka kwa maana bila kuwa na kigugumizi cha maneno hii kiki na ushaipata ndio maana raia wameweza kukujibu kwa hoja zao ama sivyo ilifaa wakupuuza kbs ni hayo tu maana nakupatia picha na familia yako inakutegemea bila shaka kupitia vitu vidogo unaweza jipata uko mahala ambapo unaweza jutia maisha yako yote chunga domo lako achana na mambo ya vijiweni aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du, kwa mwendo huu tuna kazi kubwa. Mungu akujalie uzima Tundu Lisu tena uzima tele hadi uje usimulie kisa kizima. Mungu wetu amekataa maonevu kwamba wewe ni msaliti wa nchi hii. Siwezi sema Mungu awasamehe kwa sababu hawajaomba msamaha kwa waliyotenda. Mungu wetu tenda ili kuonyesha ukuu wako.
Amina
 
Kwakweli kinachonishangaza ni kuwa vitu vya wazi mnajipa nazo visababu vya kuhalalisha upande wenu,taarifa inatakiwa inyooshwe na kuhusu risasi ni kweli jamaa amepigwa lakini unapodai hiyo nguo nyeupe ni vest tujiulize pia ilivuliwa saa ngapi!!? Na nani na huku bado muhusika anaonekana na shati yake ileile ya blue kwenye chumba cha daktari!?? Ingekuwa mahakamani hapo kesi imeshawashinda. Vitu vingine haviitaji siasa tuwe wakweli basi
 
Ndugu zangu napenda kuwashukuru Mbowe na Tundu Lisu kwa kutuweka sawa kuhusu tukio la Tundu kushambuliwa risasi sasa ukweli umeshafahamika tuache kelele. Mbowe ameamua kumtorosha dereva wa Tundu na kumpeleka Nairobi kwa kisingizio cha kumpatia matibabu na ushauri nasaha wakati akijua kwamba polisi wanamuhitaji kwa mahojiano. Sasa mtu muhimu kama dereva anafichwa maana yake nini? Au ndio wanamfundisha kile cha kusema? Gazeti la leo Nipashe ukurasa wa mbele limeandika kwamba Tundu Lisu anawatambua wale jamaa waliompiga risasi sasa polisi kazi yao imekuwa rahisi Tundu awaambie ni nani hao watashikwa na kushtakiwa au vipi. Sasa kama Tundu anawafahamu hawa jamaa wa risasi na hao jamaa wa risasi wanamfahamu Lisu basi wote wanafahamiana!!!!!
 
E mungu mpe ahueni na uzima mja wako tundu lisu wanaotoa post kama hizi wasamehe pia Wenda huko mbele yatawakuta ndipo watakapojua matatizo humuumiza yaliemkuta

Allwah Akbar,

Post by Shindu Namwaka
 
Wanaohangaika kuitetea serikali ndo walitakiwa wawe wakwanza kuhojiwa na vyombo vya dola hii ni kwa nchi zilizoendelea, hapa kwetu hao ndo wanaopewa pesa na serikali ili kuisafisha. Tunasafari kubwa sana kuelekea ktk nchi zilizoendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo yanakera tena yanasikitisha. Ni pale mtu mzima anapotunga uongo kuhalalisha haja yake.

Mara baada ya tukio linalosemekana la Lissu kupigwa risasi, Freeman Mbowe anaonekana amepiga picha na Dereva wa Lisu akiwa ameshikilia shati jeupe likiwa limelowa damu na suruaki ya khaki, nguo zinazodaiwa ni za Tundu Lissu alizovaa wakati wa shambulizi.
View attachment 586241
Baadaye Nape Nnauye anapost kwenye Ukurasa wake wa Insta akiambatanisha na picha aliyopiga akiwa na Tundu Lissu nje ya Bunge muda mfupi kabla ya Lisu kushambuliwa kwa risasi.
View attachment 586242
Kama hiyo haitoshi, Mange Kimambi anapost picha ya Lissu akionekana kwenye chumba cha upasuaji Hospitali ya General Dodoma akisubiri kusafirishwa kwenda Nairobi. Kwenye picha hiyo, Lissu anaonekana amelalia kichwani shati la Blue kama lile alilopost Nape Nnauye.
View attachment 586243
Kadri akili za watu zinavyotulia na kuchanganua mambo, ni dhahiri kwamba tukio hili linaweza kuwa ni kupangwa na wapangaji wamekosea steps hadi wamejiumbua. Time will tell

Kwa hiyo lisu hakupigwa risasi? Mtu kapigwa risasi nyingi kwa nia ya kuuwawa halafu zezeta wewe unakuja na rangi za mashati. Kama vyombo ya ulinzi na usalama pamoja na madactari wanadhibitisha risasi tano ziliingia mwilini sasa rangi za Ashanti zinamsaada gani kwa sasa? Au hakuvuja damu?

Acheni ushabik wa kijinga yule ni binadamu kama ulivyo wewe hata kama anakukera kwa anayosema ila ana haki ya kuishi. Si mshindane kwa hoja?

Muacheni apate matibabu maana kama viongozi wenu hawataki kuambiwa ukweli basi wamuache maana familia yake bado inamhitaji.

Kenge tasa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani rangi ya shati gani inazuia risasi??!!!
Kuna mambo yanakera tena yanasikitisha. Ni pale mtu mzima anapotunga uongo kuhalalisha haja yake.

Mara baada ya tukio linalosemekana la Lissu kupigwa risasi, Freeman Mbowe anaonekana amepiga picha na Dereva wa Lisu akiwa ameshikilia shati jeupe likiwa limelowa damu na suruaki ya khaki, nguo zinazodaiwa ni za Tundu Lissu alizovaa wakati wa shambulizi.
View attachment 586241
Baadaye Nape Nnauye anapost kwenye Ukurasa wake wa Insta akiambatanisha na picha aliyopiga akiwa na Tundu Lissu nje ya Bunge muda mfupi kabla ya Lisu kushambuliwa kwa risasi.
View attachment 586242
Kama hiyo haitoshi, Mange Kimambi anapost picha ya Lissu akionekana kwenye chumba cha upasuaji Hospitali ya General Dodoma akisubiri kusafirishwa kwenda Nairobi. Kwenye picha hiyo, Lissu anaonekana amelalia kichwani shati la Blue kama lile alilopost Nape Nnauye.
View attachment 586243
Kadri akili za watu zinavyotulia na kuchanganua mambo, ni dhahiri kwamba tukio hili linaweza kuwa ni kupangwa na wapangaji wamekosea steps hadi wamejiumbua. Time will tell
 
Naona vijana wote wa lumumba leo mmekuja kuleta propaganda kuhusu swala la lisu mnamtetea nani naona leo buku saba zinatoka unakuja na propaganda za kijinga kiasi hiki je kama hilo shati walizuia nalo damu isitoke
Akili za Ki Lumumba shida sana aisee, wanadhani kua Shati ni Ngozi ukivaa huwezi kubadilisha
 
Ndugu zangu napenda kuwashukuru Mbowe na Tundu Lisu kwa kutuweka sawa kuhusu tukio la Tundu kushambuliwa risasi sasa ukweli umeshafahamika tuache kelele. Mbowe ameamua kumtorosha dereva wa Tundu na kumpeleka Nairobi kwa kisingizio cha kumpatia matibabu na ushauri nasaha wakati akijua kwamba polisi wanamuhitaji kwa mahojiano. Sasa mtu muhimu kama dereva anafichwa maana yake nini? Au ndio wanamfundisha kile cha kusema? Gazeti la leo Nipashe ukurasa wa mbele limeandika kwamba Tundu Lisu anawatambua wale jamaa waliompiga risasi sasa polisi kazi yao imekuwa rahisi Tundu awaambie ni nani hao watashikwa na kushtakiwa au vipi. Sasa kama Tundu anawafahamu hawa jamaa wa risasi na hao jamaa wa risasi wanamfahamu Lisu basi wote wanafahamiana!!!!!
Umeandika upupu Wa bangi hapa,
Ulitaka huyo dereva aendelee kukaa mtaani ili na yeye mumuuwe ili mpoteze ushahidi.
Chadema hawana akili ndogo kama hao wanaomwitaji shahidi namba baada ya siku tatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo yanakera tena yanasikitisha. Ni pale mtu mzima anapotunga uongo kuhalalisha haja yake.

Mara baada ya tukio linalosemekana la Lissu kupigwa risasi, Freeman Mbowe anaonekana amepiga picha na Dereva wa Lisu akiwa ameshikilia shati jeupe likiwa limelowa damu na suruaki ya khaki, nguo zinazodaiwa ni za Tundu Lissu alizovaa wakati wa shambulizi.
View attachment 586241
Baadaye Nape Nnauye anapost kwenye Ukurasa wake wa Insta akiambatanisha na picha aliyopiga akiwa na Tundu Lissu nje ya Bunge muda mfupi kabla ya Lisu kushambuliwa kwa risasi.
View attachment 586242
Kama hiyo haitoshi, Mange Kimambi anapost picha ya Lissu akionekana kwenye chumba cha upasuaji Hospitali ya General Dodoma akisubiri kusafirishwa kwenda Nairobi. Kwenye picha hiyo, Lissu anaonekana amelalia kichwani shati la Blue kama lile alilopost Nape Nnauye.
View attachment 586243
Kadri akili za watu zinavyotulia na kuchanganua mambo, ni dhahiri kwamba tukio hili linaweza kuwa ni kupangwa na wapangaji wamekosea steps hadi wamejiumbua. Time will tell
Unawaza ki teenager sana aisee,
Kwanini usiwaze kwamba hiyo nyeupe unayoiona ni singlend??
Kwa hiyo unamaanisha kua hakupigwa risasi ama hakua na Nape Nnauye siku hiyo??
Kwa hiyo lile gari la Lissu kalitoboa nani??
Kuna watu ingekua JF ya enzi hizo mngeishia kua "guest members" tu aisee.
 
Back
Top Bottom