fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,415
- 7,968
Mkiwa kwenye ndoa uwe mwanaume au mwanamke, acheni uongo, msidanganyane.
Ongeeni ukweli tu, wote muwe wa kweli miongoni mwenu na hata kwa watu wengine msiongope, mtaharibu ndoa yenu!
Ongeeni ukweli tu, wote muwe wa kweli miongoni mwenu na hata kwa watu wengine msiongope, mtaharibu ndoa yenu!