Sever not found
yani weweee....
Yeleuwii husband uko poaaa
mmmmh hapo namba 1 hapo
nko safie wife... naona umeenda kwenye vigodoro vya skukuu ndo unarud leo
mmmmh hapo namba 1 hapo
Hapa nimetoka patupu! sababu ni kwamba sijaelewa msamiati uliotumika kwa kichwa cha habari. PAPUCHI ndio nini?
papuchi ni ela
We itakua unandanganya!!!!!!
Coz nimeondoa papuchi na kueka hela but imetoa jibu silo.
Chek nilivyofanya;
"UOMBAJI HELA kwa baadhi ya
makabila" (heading)
"WACHAGA: Mama Manka Fungua
Kibubu nitupe shilingi" (namna ya hizo hela ziombwavyo)
Sasa huyo mchaga anaomba hela au anatoa hela?
hahahahaha alafu wewe unakumbuka promise yako au unadhani nimesahau
papuchi ni msamiati wenye maana zaidi ya moja
mimi najua maana yake ni ela
mama rhobi rara nikurenge
ova