Unywaji wa Maji ya kutosha katika maisha kunaweza kupunguza hatari ya maradhi ya moyo

Natamani ningemuona huyo dr atoe maoni yake kwangu maana nimevuka nusu karne kitambo
Na maji pure water sinywi kabisa nina zaidi ya miaka 40
Ni juice na baadhi ya matunda tu na salad kidogo ila maji hapana
Sio kuwa yananiumiza au vipi ila nimeyakataa tu na sioni faida yake
Kheeeeeeeh!

 
Natamani ningemuona huyo dr atoe maoni yake kwangu maana nimevuka nusu karne kitambo
Na maji pure water sinywi kabisa nina zaidi ya miaka 40
Ni juice na baadhi ya matunda tu na salad kidogo ila maji hapana
Sio kuwa yananiumiza au vipi ila nimeyakataa tu na sioni faida yake
Hata siyo sifa.
 
Back
Top Bottom