Tatizo ni upungufu wa imani, ukimuomba Mungu kwa moyo safi basi nae atakupatia Mume bora au mke bora. Ila tatizo watu imani zao zimekua haba.. Watu tunatumia akili zetu kuliko kumtegemea Mungu.. Na hili ndo tatizo kubwa, ila nadhan na mmomonyoko wa maadili nao umechangia, nadhani babu zetu walikuwa wanachakachuana baada ya kuoana.