Unyonyaji wa Vodacom umekithiri

Sasa mkuu kwa sh. 500 unapewa dk 20+10 za mitandao yote, sms 30 na Mb 50. Unataka wakupe nini tena zaidi ya hicho walichokupa kwa jero yako ?
 
Alafu mwisho wa mwaka wa fedha wana wanatamba eti oh kabla ya kodi tumepata faida ya 100bn pumbafu zao.
 
Wasengerema sana wallah... Super UNI wamepunguza toka 3GB mpaka 1.5GB kwa wiki kwa 5000Tshs
Mimi walianza kunipandishia kutoka 1GB kwa 1500/= hadi 1GB kwa 2000/=, sasa wamenipandishia 1.2GB kwa 3000/= kwa wiki, halafu sms wanazosema ni UNLIMITED ziliisha kwa siku 3
 
Sasa mkuu kwa sh. 500 unapewa dk 20+10 za mitandao yote, sms 30 na Mb 50. Unataka wakupe nini tena zaidi ya hicho walichokupa kwa jero yako ?
Inapungua after somtym kesho nnaeza kuta mb 10..jero ndogo kwako ndio maana unaona sawa na hujalalamika kwangu ni kubwa mno
 
[emoji23][emoji23] watu watigo mpo humu!??
 
Vodacom wajinga....sawa
Vodacom wapumbavu....sawa
Vodacom wezi.......sawa

Unakwenda Vodacom kufanya nini? Ridhika ba tigo iliyo nafuu na tamu na nyepesi na rahisi na yakisasa
Hawa watoto wa juzi bhana. Yaani unalinganisha voda na huu ujinga. Vodacom mtandao wake una nguvu sana kwa sisi tunaotumia ndio tunahuzunika kuuacha. Nina laini ya tigo lakini spidi yenu ya internet sio aisee. Very slow. UKIONA WATU WANALALAMIKA SANA HAWAHAMI JIULIZE KWA NINI?.
 
Watumiaji wa tigo hali zenu [emoji1787]
Mtandao mbovu vifurushi vinapanda bei daily.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…