Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,299
He's awaiting imminent impeachment before 2020.Wewe! Hili ni jeshi la mtu mmoja. Hicho kibunge chenu tupa kule. Bunge ni moja ya wafanyakazi hewa msimu huu. Hututaki bajeti yao. Mtu mmoja anatosha alaah!!
Kweli nyani hauni kundule lake. Leo Chadema imekuwa fisadi?Hapa kazi tuu tokeni Na vihoja vyenu vya udhaifu hapa nyie mafisadi
Huwa unatabia ya kusoma bajeti?? au unaona ni maajabu kwakuwa ulikuwa umezoea chini ya uongozi wa mafisadi vitu vingi vinapigwa juu kwa juuu halafu tunaambiwa baget haitoshi?? Hizo ndege tanzania inanunua kwa cash kama mkakati wa kufikia uchumi wa kati nduguuu. Halafu ndugu huu ni utawala uliotukuka, hakuna mafisadi papa tena, waliokuwa mafisadi walishatimukia kule kwenye kile chama kinachowaoshaa. Sisi huku tunasema HAPA KAZI TU.
Pakipatikana Katiba nzuri. Magufuli atakuja kushtakiwa huko mbeleni.
Cha ajabu kuna watu inawauma jinsi nchi inavyonyooshwa.ndege wamelipa malipo ya awali....na bunge lilipitisha bilioni 500..kwa ajiri ya atcl..so wamelipa malipo ya awali...ila ukweli ni kwamba kwa BOEING dreamline..magu katisha ikitua bongo sipati picha,,,maana hata rwanda walileta 737next gen,,,ila wakatamba je sisi wa 787...hongera magu..ipo siku utakumbukwa
I dont thing if there could be even a test of impeachment from Lumumba group, though they are indeed suffering kimoyo moyo.He's awaiting imminent impeachment before 2020.
Except kwa wapinzani uchwarandege wamelipa malipo ya awali....na bunge lilipitisha bilioni 500..kwa ajiri ya atcl..so wamelipa malipo ya awali...ila ukweli ni kwamba kwa BOEING dreamline..magu katisha ikitua bongo sipati picha,,,maana hata rwanda walileta 737next gen,,,ila wakatamba je sisi wa 787...hongera magu..ipo siku utakumbukwa
Baada ya hapa kasome kitabu kiitwacho "The Animal farm". Uone ghiliba za uongozi. Chapatikana kwenye internet.Hatuhitaji bunge
Jana wakati tunaadhimisha miaka 55 ya uhuru wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika (sasa Tanzania), Mhe rais alisema mpaka sasa tumeishanunua ndege sita za kubebea abiria.
Naomba kujua wakati wa bunge la bajeti pesa za kununua ndege zilikuwa zimepangwa kiasi gani na kupitia wizara gani? Je, mpaka sasa ni kiasi gani kimetumika kununua ndege hizo?
Na kama bunge halikupanga kununua ndege hizo, Rais haoni kuwa anaingilia mhimili mwingine ambao kimsingi ndio wenye mamlaka ya kupanga bajeti na matumizi yote ya serikali.
Je, tunahitaji bunge?
Hilo bunge ni bange tupu.
Mara Sugu ataka kurusha Kungfu, mara Mbowe kagoma, Kubenea kaongoza watu kutoka nje........... heri bunge la mtu mmoja.
Jana wakati tunaadhimisha miaka 55 ya uhuru wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika (sasa Tanzania), Mhe rais alisema mpaka sasa tumeishanunua ndege sita za kubebea abiria.
Naomba kujua wakati wa bunge la bajeti pesa za kununua ndege zilikuwa zimepangwa kiasi gani na kupitia wizara gani? Je, mpaka sasa ni kiasi gani kimetumika kununua ndege hizo?
Na kama bunge halikupanga kununua ndege hizo, Rais haoni kuwa anaingilia mhimili mwingine ambao kimsingi ndio wenye mamlaka ya kupanga bajeti na matumizi yote ya serikali.
Je, tunahitaji bunge?
Nani amewazuia kumshtaki? Mbona mnazunguka mbuyu?kuna wakati unasahau kuwa wa kushitaki ni Lowasa