Huko ni mbinguni kwenu ambako hamtaoa wala kuolewa.
Sisi upande wa pili mbinguni kwetu tutapewa mabikira sabini na mbili, isitoshe tumeahidiwa tutapewa mjegejo wenye nguvu na mrefu kuzidi huu wa sasa, ili kuwaridhisha hao mabikira wote sabini na mbili.
Ila mimi kinachoniumiza na kunishangaza yani kwamba yule mdhambi kwelikweli anaweza akatubu dakika ya tisini anapokufa na akasemehewa kabisa na mbinguni akaingia. Ila huyu mwingine mlokole kabisaaaa maisha yake yote yoteee siku anakufa akasahau kutubu anaenda motoni kweeeli? Kwamba mbingu haina huruma kiasi hicho? Sasa kama ni hivyo si bora hata mahakamani unaweza toboa.😅😅😅
Ila mimi kinachoniumiza na kunishangaza yani kwamba yule mdhambi kwelikweli anaweza akatubu dakika ya tisini anapokufa na akasemehewa kabisa na mbinguni akaingia. Ila huyu mwingine mlokole kabisaaaa maisha yake yote yoteee siku anakufa akasahau kutubu anaenda motoni kweeeli? Kwamba mbingu haina huruma kiasi hicho? Sasa kama ni hivyo si bora hata mahakamani unaweza toboa.😅😅😅