jaman mi nauliza faida ya kuunroot androids na je kuna hasara au unaitaji kujiandaa nn kabla ya kuunroot na je nawezaje kuunroot android Yang techno m3 v 4..2
Kwanza unavoid warrant ukisharoot kama ikibuma ujue huwezi warudushia walio kuuzia, kwa namna swali lako lilivyo inaonyesha wazi hujui chakufanya na root kwa hiyo dont bother, ila faida yake ni kwamba unapata uhuru zaidi kufanya chochote ndani ya simu yako kama kutoa zile system apps ambazo zinakuja na simu kama vile palm chat, Facebook, redio nk. Vile vile unaweza kubadili user apps kuwa system apps kama moborobo, viber nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.