Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Police fired over football fans' heads to disperse angry crowds in Lubumbashi in DR Congo after the local team TP Mazembe lost the Club World Cup final.
Reports say disappointed fans took to the streets and attacked Chinese-run businesses, after TP Mazembe were beaten 3-0 by Italian club Inter Milan.
They are believed to have thought the Japanese referee was Chinese, and were angered by some of his decisions.
During the game in Abu Dhabi, fans had chanted "Chinese go home".
Many Chinese firms work in the copper mining industry in Lubumbashi, capital of Katanga province.
Disappointed fans smashed windows and started to loot mobile telephone premises owned by Chinese companies, the Agence France-Presse news agency reported.
Police restored order, and no-one was reported injured.
Miafrika ndivyo tulivyo
Miafrika ndivyo tulivyo
Niliangalia game hiyo kwenye TV.
Nafikiri mambo mengi yalichangia kwa TP Mazembe!
1.Katika level hii huwezi kudefend poorly kama walivyofanya.Milito angeweza kufunga 2 more goals
2.Discipline.
Time nyingi za Afrika zinasuffer hii issue.Watamlaumu referee Mchina,lakini consistent foul na cheating katika high level always punished.
Tuliona EKANGA,akidive ,baadae kujigongesha kwa Tiago Motta,halafu akaanguka kama amepigwa risasi.YELLO card.
Halafu binafs naona i,wacheza wengi wa Afrika wanapenda ubishoo.Angalia hair styles .Karibu wacheza wengi TP either wamesuka nywele,kupaka rangi mbalimbali etc.Wangemwangalia mwafrika mwenzao ,Etoo,clean hair cut,anajali football yake kuliko attention ya nywele bandia
Miafrika ndivyo tulivyo