CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,387
- 6,481
We unajua hukohuko marekani kuna mitaa mtu mweusi hatakiwi kuonekana licha ya kuishi mitaa hiyo?wazungu hujawajua wewe walivyowabaguzi eti
Nakubali kabisa ni wabaguzi, washenzi kabisa. Ila nilichosema ni kuwa mwandishi aliyesema kuwa hana hatia, hana mamlaka ya kusema hivyo. Mwenye mamlaka ni mahakama. Sisemi hawajamtesa na kumsababishia kifo, la hasha. Most likely wamemtesa, lakini mahakama ndio ya kutoa kauli hiyo.
Nawe unakubali kuwa huko Marekani "kuna mitaa mtu mweusi hatakiwi kuonekana licha ya kuishi mitaa hiyo?"
Nakubali kabisa, ubagusi upo mkuba.
Nadhani polisi wametia mgomo hivi wa aina fulani ili kutaka kuonyesha umuhimu wao. Baltimore Orioles na White Sox walikuwa wacheze leo baadaye kidogo si mbali na hapo kwenye varangati, wameamua kuahirisha mchezo.
Anakataa lolDah huyu Mayor hii katoa kali kwa kweli.
Angalia reaction ya huyo jamaa hapo nyuma baada ya kusikia kauli hiyo.
One of the dumbest things I've ever heard a Mayor say.
B-More is crazy, as matter of fact it has one of the toughest hoods in America
Kuna mtu yoyote anashangaa kuhusu black Americans .Wanaua kwa 5 dollar hawa .But the thing is, they are just destroying their own community.
So stupid.
Where are they going to buy their alcohol tomorrow?
Imagine police wakatae kwenda kwenye hizi neighborhood .umemwona Yule mama alivyokuwa anamchapa mwanae live.Kusema ukweli sikujua Baltimore black america wapo wengi hivi .Police ni washenzi sometimes
Imagine police wakatae kwenda kwenye hizi neighborhood .umemwona Yule mama alivyokuwa anamchapa mwanae live.Kusema ukweli sikujua Baltimore black america wapo wengi hivi .Police ni washenzi sometimes
Nawe unakubali kuwa huko Marekani "kuna mitaa mtu mweusi hatakiwi kuonekana licha ya kuishi mitaa hiyo?"
perfect, nilikuwa najiuliza kama hutokuja na comment ya namna hii hapa, namsubiri na kiranga
Unamsubiri ili iweje?
Pro-America kama ulivyo ww ......!!!!!
Hao jamaa utakesha nao, na hakuna hata mmoja atakuja na jina la mtaa hata mmoja.Hakuna cha u pro-American hapo wewe.
Ni suala la facts tu.
Ni mitaa gani ya Marekani ambapo weusi hawatakiwi kuwepo?
Yup...naangalia hapa na sielewi kabisa kwa nini hakuna watu wa law enforcement.
Hao wahuni nimeona wamevunja duka la CVS, Rite Aid, liquor store, check cashing store....
I mean, polisi wako wapi? Hayo maduka yanahusika nini na kilichomtokea Freddie Gray?
Wanaharibu biashara zinazohudumia community yao wenyewe. Kesho watu wataenda wapi sasa kuchukua prescriptions zao kama CVS na Rite Aid zimevunjwa?
Huyu meya na watu wake wazembe kabisa.
Halafu muda si mrefu giza litaingia na hali itaendelea kuwa mbaya.
Haya, Gavana naye katoa tamko kuwa eti wame activate national guard.....wako wapi hao national guard?
Yaani hovyo kabisa.
We unajua hukohuko marekani kuna mitaa mtu mweusi hatakiwi kuonekana licha ya kuishi mitaa hiyo?wazungu hujawajua wewe walivyowabaguzi eti
Nakubali kabisa, ubagusi upo mkuba.