Unlock code

Unlock code

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
3,992
Reaction score
5,969
Mwenye kujua la kufanya tafadhali. Nimekwama hapo
 

Attachments

  • IMG_20251114_150044_629.jpg
    IMG_20251114_150044_629.jpg
    291.5 KB · Views: 17
Simu za Mitandao hizo hakikisha unatumia line iliyokuemo siku unanunua hiyo Simu.
Hapo changamoto sasa. Ilitoka Zanzibar nilipewa na mtu, alikuwa nazo nyingi. Badhi zikawa zinafanya kazi, nyingine ndo zinaonyesha hivo.
 
Hiyo ya mkopo au imetoka nje ya bch ipo locked
Kama alikununilia alitakiwa kuhakikisha ni unlocked

Mi niliingia gharama mwanzo nilinunua marekani bila kutizama hicho kipengeve via ebay
Kilinilamba ..sema wenzetu wamenyooka wana return and refund policy nzuri sana
 
Hiyo ya mkopo au imetoka nje ya bch ipo locked
Kama alikununilia alitakiwa kuhakikisha ni unlocked

Mi niliingia gharama mwanzo nilinunua marekani bila kutizama hicho kipengeve via ebay
Kilinilamba ..sema wenzetu wamenyooka wana return and refund policy nzuri sana
Si ya gharama kiasi cha kuhangaika nayo, kinokia kidogo tu. Ilitoka Zanzibar. Nasikia wanauza kwa mfumo wa no test. We chukua kama umelidhia, utajua mbele ya safari. Sasa, alienipa alichukua nyingi, ila 5 zikawa na shida hiyo.
 
Nokia Lumia iyo sio ya mkopo. Ni kutoka nje. Hapo kusema kweli ngumu. Unaweza itumia kwa WiFi?
 
Si ya gharama kiasi cha kuhangaika nayo, kinokia kidogo tu. Ilitoka Zanzibar. Nasikia wanauza kwa mfumo wa no test. We chukua kama umelidhia, utajua mbele ya safari. Sasa, alienipa alichukua nyingi, ila 5 zikawa na shida hiyo.
Pole
 
Back
Top Bottom