Unlimited Internet Using Multi-SSH

Kwa sasa natoa huduma kwa Windows OS
May be sometimes later Android inaitaji mda mwingi kuifanikisha hiyo android ila nimetingwa na mambo mengine...

Kwa iOS au MAC Big NEVER
mkuu ungeshusha maelezo kuhusu android na mm ni miongoni wa ninaotamani na ninadhan utapata wateja wengi sana mkuu naona utapanua fursa
 

Airtel inahusika mkuu?
 

boss does this still works?
 
ninafnya kazi mpaka sasa?
 
Juzi juzi hapa tulikuwa na youfreedom wakaipigia debe huku kwenye mitandao wakaziba matundu sahivi wengi wanaogopa kutoa hizo app maana kuna viwatu vikipata vinajitafutia umaarufu kwenye metandao wasijue ndo wanachoma kibanda
 
Juzi juzi hapa tulikuwa na youfreedom wakaipigia debe huku kwenye mitandao wakaziba matundu sahivi wengi wanaogopa kutoa hizo app maana kuna viwatu vikipata vinajitafutia umaarufu kwenye metandao wasijue ndo wanachoma kibanda
ni kweli nimeiona hii kitu ikitokea, hata kipindi cha nyuma kidogo cha vpn, naona user wakiwa wengi wanashitukia
 
Ata sahivi nadhani wapo watu wanaenjoy maisha sema wanahofia kutoa mzigo maana wanga watasambaza mpk kwenye makampuni alafu matundu yazibwe
ni kweli nimeiona hii kitu ikitokea, hata kipindi cha nyuma kidogo cha vpn, naona user wakiwa wengi wanashitukia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…