Senorita23
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 390
- 489
Ndugu wana jf at ukikosa first selection unasubir second au unaomba tena
Ukikosa first selection ni kwamba huwezi kuchaguliwa tena kwa kutumia maombi yako ya liyopita. Inakubidi uombe upya hata kama utarudia baadhi ya maombi yako. HUSUBIRI BALI UNAOMBA TENA.Ndugu wana jf at ukikosa first selection unasubir second au unaomba tena
Veep kuhusu gharama kwny kuomba second selection unalipia tena ama veeeep? Embu nisaidie hapo mkuuUkikosa first selection ni kwamba huwezi kuchaguliwa tena kwa kutumia maombi yako ya liyopita. Inakubidi uombe upya hata kama utarudia baadhi ya maombi yako. HUSUBIRI BALI UNAOMBA TENA.
Sina hakika lakini kwa ujumla ukiomba chuo kile kile huwa hawakulipishi lakini ukiomba chuo kipya inabidi ulipe. Itabidi ucheki na vyuo husika.Veep kuhusu gharama kwny kuomba second selection unalipia tena ama veeeep? Embu nisaidie hapo mkuu