hata mi ndo nashangaa. Nkurunzinza je? mbona wamemwacha yuko madarakani na wananchi walimkataa? Museven kang'ang'ania madaraka miaka 30 sasa haaasemi kitu? akina besgye kila siku wanakamatwa kwenye kampeni wanawekwa ndani na serikali ya museven bila makosa uonevu mtupu mbona wasiseme kitu?