ni pale unapodhani msichana uliyenaye
umemnasa na superglue,hapindui kwako
kabisa,unajidai umemuweka kwenye chupa na
kwako ni mtakuja primary school....unams
umbua unavyotaka,stress ni part ya maisha
yake,kisa tu unajua amekupenda na hawezi
kukuacha
basi umemtafutia kijikosa uchwara tu ili umpe
jamba-jamba ilimradi tu upruv uanaume
wako,basi umemnunia mtoto wa watu wiki
nzima,anakupigia simu,anajishusha kuomba
msamaha,umeuchuna tu na madai yako
mara ghafla anaacha kukutafuta...unaona
ameposti facebook status,"thank god i found
you,maumivu basi tena"
ukadhani utani mara kaposti instagram
picture na caption,"sikuwahi kujua how love
feels until i met you,its only one week but it feels
like a year,love you boo#
ukaamua kumtafuta next day kumfuata kwake
jioni,unamkuta anashushwa na new boo
wametoka shopping halafu limepigwa busu refu
kuliko hasheem thabit, lazima jicho
likutoke
utajihisi umezeeka ghafla na sura yako kama
wimbi la uji wa choroko
ukipendwa shikamana,huwezijua kuna mchepuko
unaomba kuwa njia kuu mwaka wa 5
huu,ukimess up tu unariplesiwa ghafla,we
umetania yeye kafanya kweli,umemwaga ugali
na yeye kabidua bakuli la mboga na moto kazima kwa maji kabsaaa.. Shikamoo mapenzi !!