Unguja waongoza kwa elimu duni

Mikoa yenye asili ya kiarabu na dini ya kiislamu huwa hakuna wataalamu kabisa.
Ukweli Usiofichika Ni Kwamba Zanzibar ina Wasomi Wakubwa na Wataalamu Wa Kila Namna ila Kama Nilivyozungumza Mfumo Wa Elimu Zanzibar ni Mbovu unaojengwa Na UKADA na wala si Taaluma!!

Mkuu hebu eka unaloliamini Pembeni na Uniambie Kwakweli Je ni UNIVERSITY GANI TANZANIA iliyokuwa Haina WAZANZIBARI/WAMADRASA??
Je ni UDSM? KCMC? MUHIMBILI? UDOM? IMTU? au Kipi??

Je Hapo Tz Bara Hapana Wataalam MAPROFESA, PHD na MASTERS ambao ni Wazanzibari??

Sasa Kwanini Hao Wanafunzi Waliomo Vyuoni na Hao Wasomi Wanaoitumikia Tanzania Bara Wasije Zanzibar??

Kwanini Wazanzibari Wengi Ni Wahadhiri Nje Ya Nchi Kama Vile Uganda, South Africa nk na wanakataa Kuja Zanzibar mpaka waletwe Kisiasa Kama Alivyoletwa Prof Mnyaa na Prf Rai??

Hii Ni Sababu Kuwa Zanzibar Haihitaji Wasomi wala wataalamu Bali inahitaji MAKADA.

Wewe umeona wapi Mtu Kuwa Diploma Holders Akawa Principal Wa Shule Ya Advanve?

Kila Mwaka Wahitimu Mbali Mbali Wa Kizanzibari Wanagraduate Kutoka Vyuo Vikuu Mbalimbali Tanzania Nzima Lakini Hakuna Hata Mmoja Anaerudi Zanzibar why??

Hili Hamlioni Kuwa ndiyo Tatizo kuu la Wazanzibar Kufeli Kwa Kutokuwajali Wasomi??

Haya yote Yanasababishwa na Siasa Za Undumilakuili za CCM tanzania Bara Kuwafanya Watu Wa Unguja Waamini Kuwa Wazanzibar Waliowengi Hasa Wale Wenye asili ya Pemba Kuwa Ni Descendants Za Wakoloni Kwahiyo Wasiwape Nafasi Hata Kama ni Wenye taaluma, Bali Wawape Nafasi Wahafidhina Hata Kama Ni Pumba tupu Wakati Ni Makada hamna tatizo.
 
Sasa Mimi Na wewe hapa Pumba Nani??
Kwani Umesikia Zanzibar Wanafunzi Hawana UNIFORM?
Sisi Zanzibar Wanafunzi Wote Wa Secondari na Praimari Tunavaa Sare Maalum!

Tatizo ni Kwamba Hukupenda Tunavyovaa Unataka Tuvae unavyotaka wewe!!

Yaani Katika Reply yako Mbovu ni hii Unatoa Hoja Ya Kuvaa Mavazi tofauti wakati Zanzibar Sekondari ni BLACK & WHITE, na PRIMARY ni BLUE & CREAM.
 
Matokeo haya ya Form 6 Znbar na Bara ni ishara kabisa siwezi bishana na ww!!
 
Haiwzekani Taasisi Nyeti Ya Elimu Kuongozwa na MAKADA/VI.LAZA waliofeli Shule ikaweza Kutoa Wanafunzi Watakao Faulu "End of Quote"
 
Hivi elimu ya Tanganyika ni rocket science hadi wanzanzibari kufeli kiasi hiki? Enzi za mtihani wa Cambridge wazanzibari walipeta sana Afrika Mashariki. Tumefika vipi kwenye hili janga?
 
Matokeo haya ya Form 6 Znbar na Bara ni ishara kabisa siwezi bishana na ww!!
Huko ni Kuishiwa Hoja, Umeleta Uzi matokezeo Yake Unashindwa Kuudefend!
Hii yote Ni Kutokana Na Kukurupuka Kujifanya Unajua Kumbe Brainwashed!

Hebu ulizia hapo zamani Zanziba ilipokuwa Haijaukumbatia Ukada na Uunguja ilikuwa Haipasishi na Kutoa Wanafunzi Bora??

Je wakati huo Hakukua na Madrasa??
Au hizi Madrasa zimeanza Mwaka huu tu??
 
Hivi elimu ya Tanganyika ni rocket science hadi wanzanzibari kufeli kiasi hiki? Enzi za mtihani wa Cambridge wazanzibari walipeta sana Afrika Mashariki. Tumefika vipi kwenye hili janga?
Mkuu ni Kuingizwa Ukada (Uunguja & Upemba) katika Taasisi Ya Elimu na wala si Jengine.
 
Nadhani nakujibu kwa busara sana humu, ila ni Bingwa wa Matusi!!
Pia status unayotaka kuwa nayo ktk jamii ni tofauti na nitakayo mm!!

Nijibu nn wakati kama kawaida yenu Mipasho na maneno ya Khanga mwanzo mwisho.

Plz jikite kwenye mada na uchallenge with Logical and reasoned Arguments!!!!
 




Dini bwana inawauangusha sana hawa ndugu zetu. Unguja wanaona dini bora kuliko elimu ya shule, dini si muhimu katik maisha ya mwanadamu hata siku moja, never! Abudu muumba wako na fuata kanuni za kimungu basi. Ukifuata sana dini lazima tu upende usipende utakuwa mnafiki na ignorant katika masuala muhimu ya kila siku ya maisha ya mwanadamu. Angalia mikoa inayopenda sana dini hapa Bara kama vile Tabora na Kigoma. Hii mikoa iko hovyo japo ni matajiri wa ardhi yenye rutuba ila wananchi wake wengi wanaishi maisha ya kimiujiza tu. Mtu anaacha kulima na kujishughulisha kimaisha kisa swala tano. Waarab kwa kweli wamelostisha sana wananchi wetu.
 
Upo sahihi sana mkuu ni ukweli wasioupenda hawa ndugu zetu. Dini sio mbaya ila inategemea imepokelewa vipi na inatumiwaje na wahusika. Bora wamisionari walileta na vishule. Umesahau na Mtwara, Lindi, Mafia, Tunduru, Pwani, njoo Tanga (washukuru mkonge ambao sasa haupo tena) nk. Hawa watu ni kama kuna kitu kiliwavuta shati. Hata Dar yenyewe wanaoindeleza sio wenyeji waswahili wale!

Wameshindwa kum spot adui yao na kutokana na ujinga uliokothiri miongoni mwa wengi wao, wamebaki kutengeneza propaganda na kujazana chuki eti kuna mfumo kristo, NONSENSE! Historia haidanganyi, wakirudi kule watamtambua adui yao.
 


Aisee, kunywa beer au chochote ukipendacho, I will pay the bill when I see you. Huko Mtwara, Lindi, na kwingoneko sijafika hivyo ni vigumu kusema nisiyo yajuwa. Ndugu zetu hawa adui yao yu miongoni mwao lakini wanashindwa kabisa kumtabua. Wamejawa na unafiki wakati kiwalacho ki maungoni mwao.
 
Sasa nimeshafahamu Kumbe Ninaongea Na Mtu Wa Namna Gani!!

Namaliza na Reply Yangu Hii Ya Mwisho!

1) Ni Kweli Sisi WAISLAMU tunapenda Dini Yetu Ya KIISLAMU kuliko Kitu Chochote Kile.

2) Sisi Waislamu Hatuangalii Kipindi Cha Mpito (Transitional Period), Bali Tunaangalia Mwisho Wako (End of Your Days) Utamaliziaje? Kwasababu Tunaamini Yapo Maisha (Thereafter) Baada Ya Haya Tuliyonayo hapa Duniani.

3) Mimi Mwenyewe Binafsi Napenda Sana Dini Kuliko Haya Masomo Ya Shule, Lakini Namshukuru Mungu Kuwa Nimeanza Darasa la Kwanza Mpaka Nimemaliza F6 sijafeli na Mwaka huu Nategemea Chuo! Kwahivyo Kupenda Kwangu Dini Hakukuniathiri Chochote Katika "My Educational Carrier".

4) Wewe imani Yako Siijui ni ipi na wala sikudharau, Lakini Kama unayo Dini hivi hujioni Kuwa Wewe Mtu Wa Ajabu ikiwa Huipendi Dini Yako?? Hao wenzio mlio dini moja watakuchukuliaje Kusema "MTU YEYOTE ANAYEPENDA DINI NI MNAFIKI NA IGNORANT" kumbuka Kuwa Kwa Kauli Hii Umetukana Wengi Coz dini si Uislamu Pekee! Hata WAKTISTO, WAYAHUDI, WAHINDU hapa utakuwa umeshawatukana mana nao Pia Wapo Wanaozipenda Dini Zao.

5) NA HAPA NIMEKUKAMATA ZAHIRI SHAHIRI KUWA KUMBE POINT YAKO ILIKUWA SI KWANINI WAUNGUJA WAMEFELI??, BALI POINT YAKO NI "KWANINI WAZANZIBARI WANAPENDA UISLAMU"??

Mkuu Kwetu Uislamu Ndiyo Kila Kitu.

[""SITO COMMENT TENA BAADA YA HII""]
 


Ni vizuri umejitambua na kuona umuhimu wa shule mpaka unataka kuendelea na chuo. Wenzako mpaka leo hii bado hawajitambui wanabaki kunyoshea vidole watu waliosoma wakati adui yao yu miongoni mwao (madrasat). Wewe kama muislam uliyesoma kidogo na kuona umuhimu wa shule, unasaidia vipi wenzako wasio ona faida ya shule? Na kwa akili na upeo wako wa maisha, madrasat inamsaidia nini mtoto wa kiislam katika kujiendeleza kimaisha? Pia jiulize, kujuwa kusoma na kuandika kiarab kunamsaidia nini mtoto wa kitanzania ikiwa shuleni wanajifunza kwa kiswahili? Hayo yote uliyotaja hapo juu, madhara yake ni elimu duni. Hamka saidia wenzio.
 
Kila kitu kinapaswa kuwa kiasi. Too much of something is DANGEROUS!!!
Una kuta hata haya MAKANISA wa najiita ya KIROHO wanasali from Monday hadi Sunday! Wanaishije, unazalishaje? Kuna jamaa hapa Mzanzibar anabisha hilo.
Thanks for your observation.
 


Haya makanisa ya ufufuo sijuwi ya nabii gani yote ni majipu tu. Wale manabii dizaini ya Gwajima, TB Joshua ni matapeli tu ila utashangaa misukule kila kukicha wanawaabudu wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…