Ungelikua ni wewe ungelifanya nini?

Dada anakosa la kusoma majina kwenye cm za watu[umbea/udaku]
Kaka anakosa la kusevu mwenzie mbwa
=kuondoka na kutupa cm si solution ya kutoitwa mbwa! Mueleze ukweli ajue kosa lake endeleeni kuwa marafiki tu
unamshuri nini rafiki?
 
huyo kaka adabu zero,ingekuwa mimi ningemshukuru na no.yangu ya simu kwenye simu yake ningeifuta,kila mtu akashika ustaarau wake
 
Nadhani alichukua simu kwa madhumuni ya kutaka kusave no yake
ili abeep kwake ndio ikamletea mbwa dah sio vizuri kabisa cha muhimu
huyo dada aachane nae hana maana kabisa huyo jamaa.

sikuona sababu ya huyo jamaa kusave no ya huyo dada kama utamsave mbwa haina maana.
 
Duuu hapa utata mtupu sidhani hata kama kuna ushauri wowote ninaoweza kumpa huyu jamaa!!:tape:
 
Nadhani alichukua simu kwa madhumuni ya kutaka kusave no yake
ili abeep kwake ndio ikamletea mbwa dah sio vizuri kabisa cha muhimu
huyo dada aachane nae hana maana kabisa huyo jamaa.

sikuona sababu ya huyo jamaa kusave no ya huyo dada kama utamsave mbwa haina maana.
Kilichonishangaza nilimuuliza ya kua ilo jina alisevu ivo toka mwanzo? Akasema ndiyo nikashindwa elewa tatzo ni nini.
 
ajaribu kumuomba msamaha mara 3 kwa kila ck asbh, mchana na jioni hadi asamehewe.
 
maswal mengne jaman...
et ungekuta wewe umeseviwa ivo ungejibu nin....tuanze na wewe mwandish he we ungefanyaje?

mi ningeanza kubweka km mbwa ili niwe km anavyonidhania...


MIMI NINGEEDIT JINA LAKE FRESH KWENYE CM YANGU NINGEANDIKA MY DEAREST BRAZA,FREND, au majina yote mazuri yenye adabu na utu then ningemwambia nimekusevu ivi kwenye cm.
nashukuru wewe kwakunisevu mbwa.
ningeaga fresh na kumwambia my dearest braza nakuheshimu na kukupenda sana isnt wealth kwako kukaa na mbwwa meza moja..let me quit..byeeeeeeeeee


KUSINGEKUWA NA BFU.
IO INGEKUWA ADHABU TOSHA KULIKO KUMTUPIA SIM USON

Nimependa hii Mkuu.
 
usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio,ustaarabu hauji kwa mavazi tuvaayo

*Kutoka na utofati kulingana na tabia, hata kati ya yale unayopenda ww kufanyiwa, wengine huwa hawapendi. Hivyo jaribu kuepuka kumtendea mtu asichokipenda yeye hasa kama unakijua japo kama kwako unaona ni cha kawaida*

[ingawa umaridadi unaficha umaskin],hata kama mtu kakukosea vipi lkn ni vyema kutumia njia mbadala kutatua tatizo [Fikra sahihi huja kwa lugha sahihi]
*Hapo nakukubali mkuu*

:Huyo dada alikuwa anatafuta nini kwenye m ya watu?[ukimchunguza bata hutomla]
si busara kuanza kutafuta tatizo alishalipata tatizo tena kwa kujitakia anakasirika nn?

*Kweli umbeya siyo mzuri*

:Huyo mkaka hana haja ya kuomba msamaha maana hana mapenzi na huyo dada unless kama na yeye ni mbwa,maana mtu unaempenda huwezi kumsev hivyo.

*Haja ya kuomba msamaha ipo hata kama hampendi. Kwani anaweza kuja kuhitaji msaada kwa huyo dada siku za mbeleni akashindwa na hata pakuanzia au anaweza hata kuja kumpenda, si unajua mioyo yetu inavyobadilika*
 
Habari za asubui wanajamvi wenzangu?natumaini mupo powaa! Ningependa kueleza tukio dogo ambalo limetukia ivi majuzi ili liweze kutufunza sisi na jamii inayotuzunguka. Rafiki wangu wa ukubwani ambaye utotoni sikucheza nae,juzi alikutana na mwanamke ambae alikua na mahusiano nae na aliwai mlala mara moja,walipokutana walisalimiana nae vizuri na kuzunguamza vizuri,basi mda kupita yule mwanamke akaomba simu ya rafiki,rafiki nae bila hiana akampa,mwanamke akachukua ile cm na kuanza ibonyeza,mara sura ikaanza badilika nakumrushia simu rafiki na kuondoka kwa hasira, rafiki hakujua tatizo nini kuja kugundua kumbe alisevu namba ya yule mwanamke MBWA. amejaribu wasiliana nae ili kulisuluhisha lakini wapi, mpaka sasa mahusiano yao co mazuri. Swali:je ungelikua wewe umekuta wewe umeseviwa ivyo ungelifanya nini?

Sasa hapo ugomvi wa nini ? Kama huyo jamaa anamwita gf wake "mbwa" na yeye automatically ni "mbwa" kwa hiyo huyo dada nae angem-save huyo jamaa "mbwa dume".
 
hahahaha...mkuu umenifurahisha sana..huyo dada alichukulia papara sana jazba haraka haraka..angemuuliza naomba nikubip ili nipate namba yako niliipoteza halafu amuulize mbona namba imeandika mbwa? ili ampe jamaa nafasi ajieleze...kuna sababu hasa zilimfanya jamaa aweke hilo jina kama kumbukumbu...labda siku ya kwanza kumpata huyo jamaa kuna kiti mbwa alimfanyia...kuna sababu huyo jamaa ndo anaweza kujibu...ana swali la kujibu...nampa pole dada..ila nadhan hii tabia iko kwa watumiaji wengi wa simu ambao heshimu na ustaarabu umewapitia kushoto...haupo kabisa
Ningekuwa mimi ningebweka WOW! WOW! WOW! halafu ningemng'ata.

Ndio kazi ya mbwa....ulinzi shirikishi.
 
hahahaha...mkuu umenifurahisha sana..huyo dada alichukulia papara sana jazba haraka haraka..angemuuliza naomba nikubip ili nipate namba yako niliipoteza halafu amuulize mbona namba imeandika mbwa? ili ampe jamaa nafasi ajieleze...kuna sababu hasa zilimfanya jamaa aweke hilo jina kama kumbukumbu...labda siku ya kwanza kumpata huyo jamaa kuna kiti mbwa alimfanyia...kuna sababu huyo jamaa ndo anaweza kujibu...ana swali la kujibu...nampa pole dada..ila nadhan hii tabia iko kwa watumiaji wengi wa simu ambao heshimu na ustaarabu umewapitia kushoto...haupo kabisa
mie sina la kusema bwana,
 
Sasa hapo ugomvi wa nini ? Kama huyo jamaa anamwita gf wake "mbwa" na yeye automatically ni "mbwa" kwa hiyo huyo dada nae angem-save huyo jamaa "mbwa dume".

Likasu hebu nijuze
Akisha msave jina Mbwa Dume waendele na mahusiano
 
Dah, mi mtu kama huyu, namnyamazia tu.
Najiondekea taratibu, kama Mbwa mwenyewe.
Unamwita mtu mbwa haafu, unakaa naye meza moja.....
Wala nisingehangaika naye, ningemuona mjinga tuuuu, kwanza yeye ndo mbwa mara mbili....
Tena Mbwa dume, manake daha.....................acha nisiongee sana nikakosa adabu.

Huyo kaka ni mpumbavu, hafai hata kuwa rafiki wa kawaida,
Mwambie LD kasema yeye ni Crapiest kabisa, anakaa na Mbwa meza moja , na anatakuwa na tabia za Mbwa tu huyo sio bure.
 
Labda kwa sababu msichana mzuri vijana wa leo wanamwita mkali na kwa sababu mbwa ni mkali ndio maana mshikaji aliamua kumwita mbwaa akimaanisha mkali yaani mzuri sana
 
Dah, mi mtu kama huyu, namnyamazia tu.
Najiondekea taratibu, kama Mbwa mwenyewe.
Unamwita mtu mbwa haafu, unakaa naye meza moja.....
Wala nisingehangaika naye, ningemuona mjinga tuuuu, kwanza yeye ndo mbwa mara mbili....
Tena Mbwa dume, manake daha.....................acha nisiongee sana nikakosa adabu.

Huyo kaka ni mpumbavu, hafai hata kuwa rafiki wa kawaida,
Mwambie LD kasema yeye ni Crapiest kabisa, anakaa na Mbwa meza moja , na anatakuwa na tabia za Mbwa tu huyo sio bure.
bro umelaani sana,kama ungelikua ni wewe cpati picha.
 
bro umelaani sana,kama ungelikua ni wewe cpati picha.

Sio hivyo bro, kama mtu humtaki, kwa nini uwe na namba yake?
Si ni mbwa, sasa wewe kwa nini unakuwa na mawasiliano na Mbwa?
Ni kaneno kadogo, lakin mi nikijipima hadi nikuite Mbwa, ujue dah.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom