Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Nimeisoma then nikamwomba mungu anisamehe kwa nilichokisoma na kamwe asiipe akili yangu chochote cha kushauri....Hivi hawa watoto wamelaaniwa na nani?
Shetani at his best; hakuna kingine. Na kweli we should be careful on what we read kwani vinakaa akilini kama hakuna misingi imara.