jose loth
Member
- Sep 14, 2016
- 9
- 3
Toka nijue mapenzi nlikua sijawahi kulia kwa ajili ya mapenzi yamekuta had I nimelia na kunifanya nimeyachukia mapenzi nilikua katka mahusiano kwa miaka miwili na nusu na girlfriend wangu Sikh moja kaniambia hivi una mpango gani !nikamuliza kwa mini umeniuliza hivo akanambia mda was. Kuolewa uxhafika nataka kuolewa nikamwambia poah .nikapata safari ya kikazi nikamwacha huku mi nikiwa nafanya process za posa nikatoa posa na nikatajiwa na mahali ni kwamba in ng'ombe watano nikatoa watatu wakabaki wengne kwa makubaliano tutamalizia baadae yeye akiwa yupo kwao mi nipo dar ilikuwa asbuhi nimeaamka kanipigia simu kanambia tafta mke wa kuoa ambae ni chaguo lako nilipigwa na butwaa nikajiuliza why..... Sijui nifanyeje!!!