Ungekuwa na matobo mangapi?

Meruone

Member
Joined
Jul 29, 2012
Posts
25
Reaction score
7
Hebu fikiria kama kila dhambi ufanyayo unatobolewa,je ungekuwa na matobo mangapi ukitoa uliyonayo au ungekuwa kama kipi kati ya hivi?
(a) chandarua
(b) chujio
(c) wavu
(d) chekecheo
 
Hebu fikiria kama kila dhambi ufanyayo unatobolewa,je ungekuwa na matobo mangapi ukitoa uliyonayo au ungekuwa kama kipi kati ya hivi?
(a) chandarua
(b) chujio
(c) wavu
(d) chekecheo

Kwa wingi wa zambi zetu nahisi matobo yangezidi mpaka kufikia kuwa TOBO MOJA KUUUBWA.
 
Nahisi watu wangekuwa kama chandarua. Asubuhi hadi jioni ni chujio, usiku ndo kama wavu, sasa mara wiki, miezi na miaka? Nahisi ni zaidi ya chandarua.
 
Pakutoboa pangeshakosekana mpaka sasa, lakini Mungu ni wa rehema.
 
Tungebaki skeleton tu,nyama zote zingeshaisha kwa kutobolewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…