online shop
Member
- Nov 2, 2021
- 24
- 28
Hali ya chakula nchini ni ngumu naona sembe na ngano wanauza bei moja kulikoni?
We haushibi?Hivi watanzania wengi siku hizi wanakula na kushiba kweli?? Maana maharage tu kilo 3,800. Aya anunue mchele .mchele wa ovyo kabisa kg 1 2,500.bado mafuta ya kupikia bado gesi .hapo familia ni kubwa kilo moja haitoshi.na vipato ndo hivi.
Vyakula sio ugali na wali Bali Kuna ndizi, viazi, mhogo nkHivi watanzania wengi siku hizi wanakula na kushiba kweli?? Maana maharage tu kilo 3,800. Aya anunue mchele .mchele wa ovyo kabisa kg 1 2,500.bado mafuta ya kupikia bado gesi .hapo familia ni kubwa kilo moja haitoshi.na vipato ndo hivi.
Me niko mwenyewe bnaWe haushibi?
Me niko mwenyewe bna
Sipendi hivo vyakulaVyakula sio ugali na wali Bali Kuna ndizi,viazi,mhogo nk
Bora kula vyapati. Ngano ni bora zaidi kuliko mahindi katika lishe.Utaamua ule vyapati ama ugali
Tuendelee kupambana!Hali ya chakula nchini ni ngumu naona sembe na ngano wanauza bei moja kulikoni??
Nijua unachopenda kwa Bei za sokoni usilalamikeSipendi hivo vyakula
Sipendi hivo vyakula
Kabisa, changamoto ukute huna mpikajiBora kula vyapati. Ngano ni bora zaidi kuliko mahindi katika lishe.
Sisi tusio na wapikaji huwa tunafanya hivi:Kabisa, changamoto ukute huna mpikaji
Sembe sh ngapi mkuuUnga wa ngano 2200
Maharage 3200
Mchele 3000
😁😁😁 maisha yamekuwa ya ajab anekula chapat na anayekula ugari asubuh asubh unashindwa kuwatofautisha nani wenye nazo nani kapukuUtaamua ule vyapati ama ugali