Wakuu kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba katika hali ya kawaida sehemu au tundu lolote hata liwe dogo kiasi gani kama kichwa kikiweza kupenya basi na mwili mzima utaweza kupenya. sasa kwa kuangalia hii picha najiuliza kama hoja hiyo ni ya kweli au la. Nazungumzia kichwa cha juu jamani sio kile kingine!