Unene mwingine balaa!!

Huyu, wamwache njaa wiki tu. Atanyanyuka tu huyu!!!
 
Wakuu kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba katika hali ya kawaida sehemu au tundu lolote hata liwe dogo kiasi gani kama kichwa kikiweza kupenya basi na mwili mzima utaweza kupenya. sasa kwa kuangalia hii picha najiuliza kama hoja hiyo ni ya kweli au la. Nazungumzia kichwa cha juu jamani sio kile kingine!
 
siyo kweli picha hii ni ya ku copy na ku paste
 
Duh! amenikumbusha malkia wa mchwa anavyofanana.
 

aaa wapi mwenyewe napinga ila kuna maumbo mengine kichwa kikipita basi mwili wote unapita ila siyo huyo kaka mpaka kero.
 
jamani hatari sasa mambo fulani ya mahabati inakuaje au ndo mambo ya kusaidiwa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…