masamchris
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 244
- 82
Tatizo act, kila wakilala wanaota chadema, wakinywa maji wanaona chadema, mtapiga kelele, poleni kwa mbunge mmoja out of 240
Unaelekea walipo Mrema na Cheyo. Wote nyie ni watu wenye tabia zinazofanana. Mnataka muwe maarufu kuliko vyama vyenu na mnataka muabudiwe. Anyaway najua nyie na kina Mrema ni watu wa dili na hamna upinzani wa kweli!acha kuweweseka wewe....mwishoni utaniita baba yako!
NCCR ina miaka mingapi? japo walikuwa chini ya UKAWA? chadema imepoteza vingapi?? we poteza muda weka chuki kwa zitto uone kama zinakusaidia wewe binafsi na chama chako
kuwa chadema ni wahuni?
lazima ikuume kwa wewe kada wa chadema
vipi mkeo wamempa viti maalumu? kubenea wake kapata