Underground wa rap hawajaliwi

Underground wa rap hawajaliwi

2game

Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
10
Reaction score
2
Wana jf niajeee hv naomba kuchukua muda wako kidogo kwann muziki wa hip hop haupewi kipaumbele bongo hasa kwa wasanii underground alafu unakuta ukiforce kupata airtime ya ngoma zako unakuta wanakushauri utoke kwenye uhalisia

Ni kwann hip hop haichukuliwi umakin km miziki mingine
 
Hiphop kwa sasa bongo ina wakati mgumu sana,
 
Back
Top Bottom