A Amonino Member Joined Feb 13, 2012 Posts 19 Reaction score 1 Mar 1, 2012 #1 Kwa nn wanawake wa sasa ni wadanganyifu
SmithG Member Joined Aug 11, 2010 Posts 67 Reaction score 2 Mar 2, 2012 #2 Wengi wapo kimasilahi zaidi ingawa wapo baadhi wenye mapenzi ya kweli, don't give up brother, u'll find a good woman somedays.
Wengi wapo kimasilahi zaidi ingawa wapo baadhi wenye mapenzi ya kweli, don't give up brother, u'll find a good woman somedays.
WA-UKENYENGE JF-Expert Member Joined Oct 1, 2011 Posts 2,918 Reaction score 1,236 Mar 2, 2012 #3 Mfumo wa maisha wa sasa unawafanya wawe hivyo!! Utandawazi nao umesaidia kubadili tabia za binadamu kwa kiasi kikubwa, kutokana na ukweli kuwa saizi binadamu anayo nafasi ya kuona mambo mengi kutoka kila pembe ya dunia na kujaribu.
Mfumo wa maisha wa sasa unawafanya wawe hivyo!! Utandawazi nao umesaidia kubadili tabia za binadamu kwa kiasi kikubwa, kutokana na ukweli kuwa saizi binadamu anayo nafasi ya kuona mambo mengi kutoka kila pembe ya dunia na kujaribu.
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,028 Reaction score 59,657 Mar 2, 2012 #4 duh....................
A Amonino Member Joined Feb 13, 2012 Posts 19 Reaction score 1 Sep 20, 2015 Thread starter #5 Naomba kuelekezwa jinsi ya kununua vitu toka nchi za nje kwa kutumis mtandao