Unda radio station yako

Transistor

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
1,061
Reaction score
1,639
Kifaa hiki kinaweza kutumika kwa ajili ya

Kurushia mawimbi ya radio umbali wa kilometer mbili,

Mdau mmoja wa Kariwa Tabora ambae amefunga

Transmitter hii kasema imerusha mawimbi

Hadi kilomiter tatu.

Unaweza kutumia kifaa hiki kama radio ya matangazo kama unakibari kutoka
TCRA

Vitu vya hapa vinavyo takiwa kuongezeka ni mixer pamoja na mic

Ya kutangazia.
 
Labda zenji ndo kitawafaaa.....maana kule hata ukipiga firimbi tu wanakusanyika wananchi wote.
 
Labda zenji ndo kitawafaaa.....maana kule hata ukipiga firimbi tu wanakusanyika wananchi wote.


Hiki kifaa kinafaa kwa radio za vijijini kwan wao hutumia jembe,ngoma na filimbi
 
Mkuu una matatizo ya "L" na "R"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…