Unbreak my Heart, Say You Love ME Again...

Unbreak my Heart, Say You Love ME Again...

Kiporo kina raha yake. Mara nyingi game za hivyo hua nizakibabe sana. Round ya kwanza inaweza kwenda mpaka nusu saa kwa mastyles tofauti tofauti.
hahahaha
nisije-pata ukimwi bure
me sipashi kiporo asee nipo kwenye diet kali
 
mmmh!
ngumu kumeza
sijachepuka nina miaka 30 sasa,
😀😀😀😀😀😀😀😀 KILA MWANAMKE HUSEMAGA IVOIVO
MARA OOOH WE NDO WAPILI
MARA BK ILIPOTEAGA WAKATI NAJIFUNZA BAISKELI AU STRESS WE NDO WAKWANZA🙄

HAKUNA WATU WAONGO SEHEMU ZA MAHUSIANO KAMA WANAWAKE AISEE MIAKA BUKU SIWAAMINIGI
 
😀😀😀😀😀😀😀😀 KILA MWANAMKE HUSEMAGA IVOIVO
MARA OOOH WE NDO WAPILI
MARA BK ILIPOTEAGA WAKATI NAJIFUNZA BAISKELI AU STRESS WE NDO WAKWANZA🙄

HAKUNA WATU WAONGO SEHEMU ZA MAHUSIANO KAMA WANAWAKE AISEE MIAKA BUKU SIWAAMINIGI
Pole Kwa kuumizwa shem na wakweli wapo subiria tu
 
That's how love is....no time will ever heal a broken heart and only those who break ur heart are capable to unbreak ur heart.....

inahitajika only one sms tu ya babe me miss you then moyo unakuwa salama tena
 
That's how love is....no time will ever heal a broken heart and only those who break ur heart are capable to unbreak ur heart.....

inahitajika only one sms tu ya babe me miss you then moyo unakuwa salama tena
Meon ee
mekupenda bure una akili yeye
Lkn ukiwa na nyege sms haipozi
 
Back
Top Bottom