Unbreak my Heart, Say You Love ME Again...

Unbreak my Heart, Say You Love ME Again...

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,561
Leo nipo Dom nimekutana na Ex wangu wa zamaaaaaaniiii wakati nina miaka 17
Sio PUNDA baada ya PUNDA wa Hadithi ya Mtu Chake

kha! yule kaka mpaka ameniachia niolewe na huyu Mume wangu ilikuwa mbindeee

hii ni stori ingine kwa kitabu kingine kwa malipo ya mbeleni kwenye website yangu

Anywho! This ex buanaaa alikuwa anaupendaje huu wimbo akiimba mwili wangu wote unapata Goose-Bumbs!

Mwanaume anaimbaaaaaa... ana mahaba kama Mtanga!

Nikajipigia mahesabu nikaona hapa sio nisijeishia kuwa Yondo Sister bila kutarajia

Siku nambwaga, Dar nilipaona padogo!

Sasa leo kanifuma Dom, kukimbia siwezi nimewekwa kwenye viti virefu, aliponiona hakuamini:
Inshort nimetolewa under his Guidance alafu alivyo Boya wakati naelekea nje anaanza kuniimbia wimbo wa Tony Braxton:

Don't leave me in all these pain
Dont leave me out in the Rian
Bring back the Nights when i held you besides me

Unbreak My Heart Oh Baby
Come Back and say, You Love ME
Unbreak MY Heart, Sweet Darling
Without You I just can;t go oooooooooooooooooooooooooooon
Oooooooooooooooooooooooooooooooooon
Oooooooooooooooooooooooooooooon
Can't go ooooooooooooooooooooon, woow!

mxiuuuu, embu nilale siku ya leo ishakuwa ya kiboya tu

Tunaanzishana mwezi wa 10 kinuksi nuksi tu

Hivi hizi Machine (Dyu Dyu) kwanini hazizeekagi?..

Good Song Though!


 
Leo nipo Dom nimekutana na Ex wangu wa zamaaaaaaniiii wakati nina miaka 17
Sio PUNDA baada ya PUNDA wa Hadithi ya Mtu Chake

kha! yule kaka mpaka ameniachia niolewe na huyu Mume wangu ilikuwa mbindeee

hii ni stori ingine kwa kitabu kingine kwa malipo ya mbeleni kwenye website yangu

Anywho! This ex buanaaa alikuwa anaupendaje huu wimbo akiimba mwili wangu wote unapata Goose-Bumbs!

Mwanaume anaimbaaaaaa... ana mahaba kama Mtanga!

Nikajipigia mahesabu nikaona hapa sio nisijeishia kuwa Yondo Sister bila kutarajia

Siku nambwaga, Dar nilipaona padogo!

Sasa leo kanifuma Dom, kukimbia siwezi nimewekwa kwenye viti virefu, aliponiona hakuamini:
Inshort nimetolewa under his Guidance alafu alivyo Boya wakati naelekea nje anaanza kuniimbia wimbo wa Tony Braxton:

Don't leave me in all these pain
Dont leave me out in the Rian
Bring back the Nights when i held you besides me

Unbreak My Heart Oh Baby
Come Back and say, You Love ME
Unbreak MY Heart, Sweet Darling
Without You I just can;t go oooooooooooooooooooooooooooon
Oooooooooooooooooooooooooooooooooon
Oooooooooooooooooooooooooooooon
Can't go ooooooooooooooooooooon, woow!

mxiuuuu, embu nilale siku ya leo ishakuwa ya kiboya tu

Tunaanzishana mwezi wa 10 kinuksi nuksi tu

Hivi hizi Machine (Dyu Dyu) kwanini hazizeekagi?..

Good Song Though!


Mwonjeshe kiasi,c unajua tena cha kale ni dhahabu
 
Back
Top Bottom