hivi babu wa loliondo anatibu pia erectile dysfunctions? kama ni kisukari chake anatumia dawa, kucontrol
Ameshawahi kwenda kwa daktari? Ameshajaribu dawa kama Viagra???
hivi babu wa loliondo anatibu pia erectile dysfunctions? kama ni kisukari chake anatumia dawa, kucontrol
Ameshawahi kwenda kwa daktari? Ameshajaribu dawa kama Viagra???
Sasa kumbe umeshaamua unataka kutoka...maswali ya nini?Hapa hutopata huo uhalalisho unaohitaji...kama unataka kuonyesha dhahiri kiapo chako ulichoapa siku ya ndoa kilikua cha uongo go ahead and do it kama nafsi yako inakuruhusu!
katika hili kweli FUTOTA umedhamiria: anaway, nasikia siku hizi kuna ndoa za aina tatu, 1. kupendana katika shida na raha, 2. kupendana katika shida tu, 3. kupendana nyakati za raha tu! inawezekana FUTOTA weye ulifunga hiyo aina ya tatu-kama kweli basi chomoka nje!:smash:naona kama vile yeye ndiye aliyepaswa kuanzisha maongezi hayo kwa kutaka ushauri wangu kuwa sasa tufanyeje hali ndio kama hivi. inakuwa ngumu kama yeye suala hili analifumbia macho. unajua wanaume wetu wa kiafrika wengi hawapendi intimate discussion za mapenzi namna hii na wake zao. kama mke huwa najituma lakini sijaona nafasi ya kuleta mazungumzo ya aina hii
katika hili kweli FUTOTA umedhamiria: anaway, nasikia siku hizi kuna ndoa za aina tatu, 1. kupendana katika shida na raha, 2. kupendana katika shida tu, 3. kupendana nyakati za raha tu! inawezekana FUTOTA weye ulifunga hiyo aina ya tatu-kama kweli basi chomoka nje!:smash:
kupenda tunapendana, na hili tatizo halijaingilia kwa aina yoyote the love i have for my hubby, ila hii inahusiana moja kwa mojana mambo ya "lust". nasikia kwenye dini ya kiisilamu kama mke hapati tendo la ndoa kwa kipindi cha miezi 3 ni ruhusu kuomba talaka yake na ikatolewa bila kipingamizi. sasa inabidi kina baba watuelimishe tufanye nini (akina mama) inapotokea hali kama hii---"majogoo yanapoacha kuwika" kina baba wana jf tufahamisheni wajameni!
hiyo nyekundu! je ni wamama wangapi pia wanakosa uwezo kama huo-sijui yao inaitwaje??? lakini katika hili wababa tunanyanyapaliwa kwelkwel! usitafute kumuumiza mwenzio! hachana na fikra za kishetani hizo! ulikubali ukristo wapaswa kufwata uliyoyakiri kwa kinywa chako!
ndugu zangu, nina hili suala ambalo linanitatiza sana, naomba ushauri wenu wa dhati.
Mimi ni mama (48yrs old), nimeolewa nina watoto watatu (22, 18, 16 yrs), naipenda familia yangu, zaidi sana nampenda mume na baba watoto wangu, na maisha yetu kwa kweli ukiacha tatizo hili, tuko murua kabisaa. Shida tuna tatizo hili; miaka ya hivi karibuni baba watoto "jogoo wake amekuwa hawikii" kabisa kutokana ugonjwa wa kisukari na matibabu yake. Na mimi mara kwa mara nimekuwa na wazo la kutafuta kijana wa nje kwa ajili ya mahusiano ya kimapenzi (tendo la ndoa) kwa sababu physically bado ninahitaji. Sasa ndugu zangu naomba mnishauri (nafahamu ya kuwa imani ya dini inakataza) ila uhitaji unanizidi hadi nashindwa kufanya kazi zangu vyema. Sasa naomba mawazo, je itakuwa vibaya (kijamii) kama nikitoka nje na kwa siri? Kama hapana nifanyeje kutatua tatizo hili?
Nb: Kitu nacho miss naona ni ile penetration, kwani style nyinginezo tunazitumia na huwa ananifikisha kileleni
(moderator sina uhakika hii post kama hapa ni pahali pake, please advice kama sio)