Amanikwanzaa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2023
- 229
- 435
Nawasalimia,
Kama tunavyojua katika familia zetu hasa kwa wale walio wawili katika mwili mmoja, asubuhi hii, nimefanyiwa kituko na mwenzangu nikahisi kuwa na hasira mno, nikajaribu kujiongoza kwa kujiambia nimefanyiwa vizuri sana (badala ya tukio baya) sasa nina amani.
Nimetamani kuishi mfumo huu, mwenye uzoefu wa hii kitu asaidie tafadhari.
Kama tunavyojua katika familia zetu hasa kwa wale walio wawili katika mwili mmoja, asubuhi hii, nimefanyiwa kituko na mwenzangu nikahisi kuwa na hasira mno, nikajaribu kujiongoza kwa kujiambia nimefanyiwa vizuri sana (badala ya tukio baya) sasa nina amani.
Nimetamani kuishi mfumo huu, mwenye uzoefu wa hii kitu asaidie tafadhari.