- Thread starter
- #41
AsanteListen to your heart, time heals. Jipe muda then utajua kama utasamehe au lah. Pia Muombe sana Mungu akuondolee hayo maumivu. Poleeee
AsanteListen to your heart, time heals. Jipe muda then utajua kama utasamehe au lah. Pia Muombe sana Mungu akuondolee hayo maumivu. Poleeee
Kumbe unaamini maandiko matakatifu.Mathew 18:21 Kisha Petro akaja kwa Yesu akamwuliza, “Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami niendelee kumsamehe? Hata mara saba?” 22 Yesu akamjibu, “Sikuambii mara saba, bali saba mara sabini.”
Sababu nimeitoa hapo juu. Yaani hukuwepo nyumbani, hujamfuma umesikia kwa majirani na evidence chache ulizozikuta ndani. Hazitoshi mimi kukubali nimekucheat. Nagoma nalamba moto.Nimemuokota kivipi!??
Kazi Ndugu.. nilienda kufanya kazi kuongeza pato!!Kwa nini usafiri sijapenda .kosa ni lako kwa nini usafiri wewe ndo inabdi umuombe msamaha umoja wa wanaume
Sasa wasubiri nini kuhama nyumba ukatulie na ulee watoto wako?Yani Najikuta nakosa raha kabisa. .hata sina hisia nae kabisa sikuhizi
Hujakutana na mengi alafu uyoo mmeo ni kiazi kweli ivi wanaume kweli tupo au ndyoo tunakaribia kuisha? anyway kama hujavuka miaka 29 au 28 au 27 vunja iyoo ndoa sababu ata wewe unaakili za kitoto nawaza Mimi apa nilipo kwamba wazazi wenu, marafiki wataweka kikao Kwa sababu ya kitoto kama iyoo ili msiachaneYani Najikuta nakosa raha kabisa. .hata sina hisia nae kabisa sikuhizi
Evidence zinatosha kabisa nyingine sijazisema tu na mbaya zaidi siku nimefika tu huyo mwanamke siku kama ya 3 alikuja Akanikuta nje ya nyumba napika huku nimevaa shati la bwanaetu niseme . Aliponiona alishtuka sana kaniangaliaaaaa hajasema kitu akaondoka .Sababu nimeitoa hapo juu. Yaani hukuwepo nyumbani, hujamfuma umesikia kwa majirani na evidence chache ulizozikuta ndani. Hazitoshi mimi kukubali nimekucheat. Nagoma nalamba moto.
Huyo mumeo kukubali katika mazingira kama hayo unapata mmoja kati ya 100M. Ndio maana nimesema umemuokota. Ni nadra sana kukutana na mwanaume wa aina hiyo. Na ukute aliyemla ni jirani yako au rafiki anayetaka kupindua meza. Hao wana mbinu nyingi za kuvunja ndoa na wako tayari kufanya sehemu ambako kutakuwa na ushahidi ili wakukomeshe
Mwanaume hakubali kosa la kipuuzi ivyoo uyoo mmeo ni kiazi wa head unakubali kosa wakati hajakukuta vunja ndoa iyoo tuongeze idadi ya masingle Maza mtaani uku labda Una kazi na unajiweza Ila ukivunja iyoo ndoa jiandae kisaikolojia kabisaaUnajua nini kaka,, kwako ni kwako tu. Niliporudi the same day niliona mabadiliko hapo nyumbani ambayo yalinipita wasiwasi mkubwa! Yani kulikua na vitu tofauti na nilivyoviacha mimi pia katika kufanya usafi mara nikute cheni . Kuna vyombo vyangu vingine nilikua sivioni. Nguo yangu fulani hivi ( kikoi) pia sikuvikuta sasa kumuuliza hanyooshi maelezo dah..
Ebu kuwa mwelewa nawewe!! Nimesema nataka kumwacha!! Arrghhh usinichosheUtoto unakusumbua Tu anyway just breakup that relationship alafu ukainjoy mapenzi pangine utakuja omba ushauri tena apa
Habari za weekend wanajamvi!
Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!
Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.
Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!
View attachment 2024934
Acha undezi mkuu kama Umeisha ushauri pita kimya kimyaMwanaume hakubali kosa la kipuuzi ivyoo uyoo mmeo ni kiazi wa head unakubali kosa wakati hajakukuta vunja ndoa iyoo tuongeze idadi ya masingle Maza mtaani uku labda Una kazi na unajiweza Ila ukivunja iyoo ndoa jiandae kisaikolojia kabisaa
Eti "mume wetu"Evidence zinatosha kabisa nyingine sijazisema tu na mbaya zaidi siku nimefika tu huyo mwanamke siku kama ya 3 alikuja Akanikuta nje ya nyumba napika huku nimevaa shati la bwanaetu niseme . Aliponiona alishtuka sana kaniangaliaaaaa hajasema kitu akaondoka .
Amina Mungu aniondolee haya mawazo mawazo!!Kama unampenda na kumkubali msamehe na sahau yote yaliyotokea maisha yaendelee.