The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,333
- 4,151
Nita ku pm nikupe ushauri mkuu, labda kuna background kidogo nataka niijuee ,kama uko tayari nipe go aheadDahhh!!
Nita ku pm nikupe ushauri mkuu, labda kuna background kidogo nataka niijuee ,kama uko tayari nipe go aheadDahhh!!
Uliza tu hapa haina shida!Nita ku pm nikupe ushauri mkuu, labda kuna background kidogo nataka niijuee ,kama uko tayari nipe go ahead
Kwa kuwa katubu na kakiri kwa kinywa hatarudia jitahidi kumsamehe maana ni binadamu ni majaribu yamemkuta mwenzio.Habari za weekend wanajamvi!
Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!
Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.
Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!
View attachment 2024934
Sawaa,Uliza tu hapa haina shida!
Mwanaume pekee ambaye amefunguka. Anakupenda na hataki kukupoteza. Ishi naye na umpe yoteYani Najikuta nakosa raha kabisa. .hata sina hisia nae kabisa sikuhizi
Asante Nimepata kitu hapa! ShukraniA million dollar question, ni nini kimefanya hadi aka cheat na kwa style ya kuleta mchuchu ndani kwenu...
Ukiweza kulijibu hilo swali, utaweza kupata utatuzi na pengine kupata amani ya moyo wako...
Kucheat inaweza ikawa ni dhambi, kosa n.k lakini zipo sababu zinazopelekea tendo hilo...
1. Tabia/Laana/Urithi wa tabia ktk kiroho, je amefanya mara ngapi? Pia ikumbukwe familia zetu nyingi tutokazo unasimuliwa kuwa babu yako alikuwa na wake 3,4,5 n.k kumbuka kuwa tabia ile inaweza tembea vizazi vijavyo pia
2. Tamaa ya mwili ya mara moja, je amejizuia mara ngapi? Kwa mwanaume yoyote rijali, suala la kutamani tu mwanamke anayekuvutia mbali na mke/mpenzi si jambo la kushangaza, ishu ni je unaweza ukaishinda ile tamaa mara ngapi?
3. Vilevi, je ni mtu wa mitungi, mihadarati? Hivi huongeza stimu na kujiamini, si ajabu kilevi kikakufanya ukamchombeza mwanamke ambaye naye ni maji mara moja na kifuatacho kikawa historia...
4. Vishawishi, je ni nani marafiki zake, si wakati wote mwanaume hutongoza kuna wakati huwa tunatongozwa
5. Tabia ya mke/mpenzi, je wewe kama mwanamke are you down to earth to yo hubby, huna kiburi? huwa watoa unyumba kwa mpenzi wako vile inatakiwa?
Kuna wakati mwanaume huleta mchuchu ndani ili ujue kuwa anytime mwanamke unaweza ukapandishwa cheo kuwa mke mkubwa au ex wife
6. Ushirikina, je mpo deep kiasi gani kwenye imani ya KiMungu, si ajabu mume au mke kuingia kwenye tego la kishirikina
Deep down Anaonesha kuregret sema mimi ndo inakua ngumu kumuamini tena. !!Sawaa,
1. Huko nyuma alishawahi kucheat au ushawahi ona suspicious yeyote
2. If yes mli solve vp hio issue
3. If no nahiic atakuwa sio mzoefu wa kucheat so Bora umsamehe, kwann nasema hivyo.
a. Kumleta mtu Hadi home na kuharibu utaratbu wa pale nyumban bila kuurudisha ulivyokuwa inaonesha ye sio mzoefu wa mambo ya kucheat, LAKIN pia inawezekana ni mzoefu lakin sio mzoefu wa kuleta home.
4. Kama anamleta home na akijua kuna watoto au majiran wanaona simply kakuchoka na anataka ujue hiyo mienendo yake muachane.
5. La mwisho yamkini mmekwazana na ndomana anafany hayo yote uumie
Thank you!Just go on vacation, nyie wawili peke yenu, mkae mzugumze, mbali for like one week
True love can heal any wound
Mhmm! SawaMwanaume pekee ambaye amefunguka. Anakupenda na hataki kukupoteza. Ishi naye na umpe yote
Yaani huyo umemuokota. Wanaume hatukubali hata ukitukuta on top tutatoa sababu.Deep down Anaonesha kuregret sema mimi ndo inakua ngumu kumuamini tena. !!
Ni nature ya mwanaume we ndo mama lao relax endelea na ndoa yako
Dah so Unanishaurije mkuu!!?Pole sana... Hayanaga muongozo...
Habari za weekend wanajamvi!
Unawezaje kusamehe kirahisi mwanaume aliyecheat tena kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi!! ???!!!
Ni mumeo wa ndoa na mna watoto. Katika harakati za kutafuta pesa ulisafiri kwa muda fulani ndipo alipotumia mwanya huo kufanya aliyofanya.
Uliporudi ukakutana nahizo habari! Na badae mwenyewe kukiri kabisa kufanya kitendo hiko eti hatarudia tena! Inauma sana. Kama wewe utafanyeje hapo!!?? Binafsi sijui hata nifanye nini tangu atubu sijamjibu chochote nipo kimyaa ila naumia sanaaaa!
View attachment 2024934
Nimemuokota kivipi!??Yaani huyo umemuokota. Wanaume hatukubali hata ukitukuta on top tutatoa sababu.
Na kuna sababu ambazo bila kutumia utashi wake hupelekea mtu ajikute amefanyia nyumbani.