Unawezaje kumiliki wanawake wawili

Unawezaje kumiliki wanawake wawili

quavio wa tz

Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
88
Reaction score
36
Hii inaniumiza akili nilikua na demu tukagombana baada ya kugombana nikachukua maamuzi ya kutafuta mwingine

Kinacho niumiza kichwa yule tuliye gombana aliniomba msamaha nikamsamehe but kinacho nisumbua now naogopa siku wakijua na cheat na uyo demu mpya naogopa kumwambia simtaki tena mahusiano yetu yana siku mbili tuu nipeni ushauri nifanyeje nitembee nao wote kisili au but naogopa kuwa cheat ushauri kwa wale wamiliki wa demu nimeona siwezi kuwa nao wote nimeamua kubaki na mmoja tuu ndio maamuzi niliyo yachukua na niliye mkataa kanilewa
 
Mambo madogo kama hayo unashindwaje ndugu? Namna gan ww bwana?
Iii inaniumiza akili nilikua na demu tukagombn baada ya kugombana nikachukua maamuzi ya kutafuta mwingine

Kinacho niumiza kichwa yule tuliye gombana aliniomb msamaha nikamsamehe but kinacho nisumbua now naogopa siku wakijua na cheat

Na uyo demu mpya naogopa kumwambia simtaki tena mahusiano yetu yana siku mbili tuu

Nipeni ushauri nifanyeje nitembee nao wote kisili au but naogopa kuwa teach ushauri kwa wale wamiliki wa demu
 
Hof inaletwa na uizi. Baki na mmoja uwe huru.
 
Sikuzile nilipokua kijana kama wewe, niliwaza kumiliki wanawake 8 kwa maramoja na wote hawakuahi kujuana.
Vijana wa .com mmekua laini sana, hata kila kitu mnataka mtafuniwe....
Huyu dogo mtepetepe sana....wanawake wawili unashindwa kuwamiliki....mimi na uzee huu ninawamiliki wanne , wawili wake za watu...siku wakijuana nitabaki na atakaye taka kubaki
 
Mkuu tegemea wanafiki wengi waje kushusha povu hapa usishangae kukutana na maneno kama haya-
:aibu naiona mimi
:Umri wako please
:Wewe ni mwanaume wa mkoani?
 
Wawili tu umekuja jf kuomba ushauri?tena mademu na siyo wake?
Kuna haja ya kuthibitishwa umri kabla hamjaanza kutumia mitandao ya kijamii.
Badala ya 18yrs kutambulika kama mtu mzima,wasogeze 21,labda kutakuwa na unafuu.
 
Huyu dogo mtepetepe sana....wanawake wawili unashindwa kuwamiliki....mimi na uzee huu ninawamiliki wanne , wawili wake za watu...siku wakijuana nitabaki na atakaye taka kubaki
Naunga mkono hoja chief, maana huu ndio haswaaa ushababi ulio tukuka...tehteehh
 
Back
Top Bottom